Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,078
Kama kichwa cha somo kinavyoeleza, mke wangu ni Graduate wa 2017 na 2018 akatunukiwa CPA, kwa kipindi chote alikua anafanya kazi ya temporary ktk kampuni moja kubwa, alifanya poa sana ila kukawa na mikingamo ya kuajiriwa kutokana na roho mbaya za mtu mweusi, akaona isiwe tabu akaachana na hiyo kampuni na sasa yuko home anasongesha mambo madogomadogo. Yuko competent sana kwenye Eneo la Kodi.
Nnaomba kwa mtu aliyeko humu anaeweza kumpa nafasi am sure hatojutia, hakika mke wangu ni Hazina kwenye eneo la Carrier yake hajapata nafasi tu, kwa atakaekua tayari nnaweza mpatia cv yake
Nnaomba kwa mtu aliyeko humu anaeweza kumpa nafasi am sure hatojutia, hakika mke wangu ni Hazina kwenye eneo la Carrier yake hajapata nafasi tu, kwa atakaekua tayari nnaweza mpatia cv yake