nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Habari.
Mke wangu alijifungua now ni siku ya nne ilikuwa njia ya kawaida,alichanika msamba na waliweza kumshona.
Sasa kinachoendelea hadi leo sehemu zake za siri inatoka harufu kali yenye majimaji yenye uchafu wa rangi ya maziwa na pia anahisi maumivu ukeni.
Msaada katika hili wakuu.
Mke wangu alijifungua now ni siku ya nne ilikuwa njia ya kawaida,alichanika msamba na waliweza kumshona.
Sasa kinachoendelea hadi leo sehemu zake za siri inatoka harufu kali yenye majimaji yenye uchafu wa rangi ya maziwa na pia anahisi maumivu ukeni.
Msaada katika hili wakuu.