Dear JF,
Mke wangu tumeoana naye miaka kumi iliyopita, siku moja niliona SMS katumiwa na x-boy friend wake siku ya Jumapili ametumiwa tsh 100,000/- nikamuuliza akasema kuwa alikosea kutuma hiyo SMS kwa hiyo tuendelee na maisha.
Sasa juzi nimeona ana risiti amelipia viwanja viwili Mkuranga bila kunishirikisha mimi. Pesa alitumiwa 22/10/2015 na hivyo viwanja vimelipiwa 22/10/2015 tumezaa watoto wawili wa kiume.
Naombeni mawazo yenu please
Mke wangu tumeoana naye miaka kumi iliyopita, siku moja niliona SMS katumiwa na x-boy friend wake siku ya Jumapili ametumiwa tsh 100,000/- nikamuuliza akasema kuwa alikosea kutuma hiyo SMS kwa hiyo tuendelee na maisha.
Sasa juzi nimeona ana risiti amelipia viwanja viwili Mkuranga bila kunishirikisha mimi. Pesa alitumiwa 22/10/2015 na hivyo viwanja vimelipiwa 22/10/2015 tumezaa watoto wawili wa kiume.
Naombeni mawazo yenu please