Mke wangu ameninyima haki ya ndoa

Mke wangu ameninyima haki ya ndoa

Phd Hewa

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2016
Posts
572
Reaction score
466
Kama kichwa cha habari kilivyo mke wangu anakataa kunipa tendo la ndoa bado sababu sijaijua ila kuna maongezi fulani niliyakumbushia ambayo yalishapita hapo zamani sasa sijui hiyo ndiyo sababu mana hata nikimuuliza anijibu juzi niliomba penzi akanipa kishingo upande ukweli sikuridhika jana ndiyo kaninyima kabisa ushauri nifanyaje mana mimi ni mume wake halali na yeye ni mke wangu halali.
 
917815_763292937137533_907937717_n.jpg

swissme
 
Kwanini umekumbushia?
Wanawake ni rahisi sana kubadili, inabidi ujishushe umrudishe kimahaba haswa.
 
Kuna sababu ambayo sisi atuijui kuwa muwazi kwanin akunyime coz nyie wote ni watu wazima na mawasiliano yenu yapoje
 
Kuna sababu ambayo sisi atuijui kuwa muwazi kwanin akunyime coz nyie wote ni watu wazima na mawasiliano yenu yapoje
Mkuu sijagombana nae pia huyu mwanamke ninae toka kitambo nimeanza kushirikiana nae kimapenzi tangu 2003
Nimemuoa 2010
 
Hata Biblia inasema uwe na kiasi ktk mambo yote, sasa we unataka kila siku????? Mh!!!! Hivi hamuwezi kujizuia? Kumbe mke anapokua mjamzito huwa mnachepuka sana.
 
Mchekeshe atakupa akikususia tena mkate vibao
 
Kwanini umekumbushia?
Wanawake ni rahisi sana kubadili, inabidi ujishushe umrudishe kimahaba haswa.
Yani Jana usiku nimechana mistari weeeeee kajibu Mara moja tu ajaongea tena hadi Leo asubuhi na mie mizimu yangu ishapanda kanisalimia Mara mbili sijamuitikilia hapa nilipo sijapata dawa ya hili jambo.
 
Watu hela hamna, toa hela bob...mnakesha mki lalama humu. Ngoja tukusaidie.
 
Mkuu sijagombana nae pia huyu mwanamke ninae toka kitambo nimeanza kushirikiana nae kimapenzi tangu 2003
Nimemuoa 2010
Pole sana ndo mvumiliane huku ukijipooza na michepuko huko mtaani kama hali hii akiendelea nayo na kama mnaishi kwa amani tu hakuna shida!
 
Back
Top Bottom