Mke wako sio ndugu yako. Bali watoto utakaozaa naye ndio ndugu zako. Je, kauli kama hii ina ukweli wowote ndani yake?

Hakuna ndugu yako kati yao, wote ni wazazi. Baba ni mzazi mkuu (ndiye aliyetoa mbegu kupitia maumbile yake), Mama ni mzazi msaidizi (Ndiye aliyepokea mbegu na kuifanyia mchakato kupitia maumbile yake ya tumbo)
Hakuna mzazi mkuu na mzazi msaidizi acha ubimbo.
 
Ni kweli 81%

Ukitaka kuthibitisha hili kaa na mkeo baada ya kumuoa kisha mpachike ujauzito Mungu awajalie mpate watoto/mtoto wenu mzuri kbsa kisha anza kuangalia ule upendo wa mkeo kwako upo kwa kiasi gani,kama ilikua kila ikifika saa 1 kamili usiku anakupgia simu

kaku miss urudi nyumbani,this time around hutoona simu na kama akipga basi haitokua tena saa 1 kamili,muda utasogezwa hadi saa mbili hivi na hiyo sio unapgiwa kwasabbu mtu kaku miss ila unapgiwa kwasababu "kaanza kuogopa usiku umeingia"

Kadri mnavyoongeza watoto ndio jinsi uthibitsho unatokea kuhusu wewe na mkeo,kwa ufupi Mke ni ndugu yako kama tu Hamtobahatka kupata watoto na ukawa upande wake kwa kila hali.

ila mkipata tu watoto,habari yako kwisha na tena usipokua baba wa kumezea na kujishusha ndoa inavunjika anytime baada ya nyie kupata watoto. "chukua hiyo"
 
Hakuna mzazi mkuu na mzazi msaidizi acha ubimbo.

"Ubimbo" ndiyo nini!!?

Wakati mwingine ni vizuri kutafakari kabla ya kujibu, ukiwa unajibu kwa mazoea utajiondolea hekima. Hakuna binadamu wawili ambao wanaweza kuwa sawa kwa kila kitu, hata mapacha waliozaliwa siku moja lazima kuna mkubwa na mdogo sembuse mke na mume!!!
 
Ni kweli 81%

Ukitaka kuthibitisha hili kaa na mkeo baada ya kumuoa kisha mpachike ujauzito Mungu awajalie mpate watoto/mtoto wenu mzuri kbsa kisha anza kuangalia ule upendo wa mkeo kwako upo kwa kiasi gani,kama ilikua kila ikifika saa 1 kamili usiku anakupgia simu

kaku miss urudi nyumbani,this time around hutoona simu na kama akipga basi haitokua tena saa 1 kamili,muda utasogezwa hadi saa mbili hivi na hiyo sio unapgiwa kwasabbu mtu kaku miss ila unapgiwa kwasababu "kaanza kuogopa usiku umeingia"

Kadri mnavyoongeza watoto ndio jinsi uthibitsho unatokea kuhusu wewe na mkeo,kwa ufupi Mke ni ndugu yako kama tu Hamtobahatka kupata watoto na ukawa upande wake kwa kila hali.

ila mkipata tu watoto,habari yako kwisha na tena usipokua baba wa kumezea na kujishusha ndoa inavunjika anytime baada ya nyie kupata watoto. "chukua hiyo"

Chief, Usemayo ni kweli lakini pia inategemea na wewe Baba (Kiongozi wa familia) unaongozaje familia yako. Yapo mambo ya kujishusha na kuyapuuza lakini yapo mengine lazima ugangamale.
 
Hata hivyo haibadiri ukweli siku mwanaume ukiamua kuoa umepoteza uhuru wa maisha yako katika maeneo yote hata mtu wa kumtia mimba mkeo
 
Hata hivyo haibadiri ukweli siku mwanaume ukiamua kuoa umepoteza uhuru wa maisha yako katika maeneo yote hata mtu wa kumtia mimba mkeo

Chief! Kuoa siyo kupoteza uhuru wako bali ni kutumia uhuru wako vizuri. Matatizo na changamoto ni sehemu ya maisha, haijalishi umeoa au la! changamoto zitaendelea kuwepo lakini pia na njia za namna ya kukabiliana nazo pia zipo. Usikate tamaa!!!
 
"Ubimbo" ndiyo nini!!?

Wakati mwingine ni vizuri kutafakari kabla ya kujibu, ukiwa unajibu kwa mazoea utajiondolea hekima. Hakuna binadamu wawili ambao wanaweza kuwa sawa kwa kila kitu, hata mapacha waliozaliwa siku moja lazima kuna mkubwa na mdogo sembuse mke na mume!!!


Kwani tunazungumzia mke na mume au wazazi.

Hakuna mzazi mkuu na mzazi msaidizi, period!
 
Kwani tunazungumzia mke na mume au wazazi.

Hakuna mzazi mkuu na mzazi msaidizi, period!

Pamoja na kwamba hatujuani, lakini majibu yako yanaakisi wewe ni mtu wa aina gani. Ngoja niishie hapa nisije nikaandika zaidi bila kujua ninaemundakia ana uwezo wa kunizaa.
 
Unapopingana na JPM jiandae kujibu maswali yafuatayo kutoka kwa Watanzania UMEME: Ukipingana na JPM watanzania watakuuliza unataka tusipate umeme wa uhakika utokanao na Bwawa LA Nyerere yaani unataka tusipate megawati 2115 za umeme unataka tusiwavutie wawekezaji.
kidumu chama japo kina waoga ingawa kipo na kila kitu
 
Back
Top Bottom