Mke wako anapopigwa vibao na jamaa huku ukishuhudia...

tr.gif
NAMFUATA NAMSALIMU...SHIKAMOO BRO...kisha namlipua moja tu ya kichwa kwa afya!
 

Attachments

  • TG.jpg
    TG.jpg
    7.8 KB · Views: 105
  • hjnt.jpg
    hjnt.jpg
    40.3 KB · Views: 100
Hebu fikiria, umetoka na mkeo kwa ajili ya mlo wa jioni.
Mgahawa ni mzuri uko pembezoni mwa bahari. Upepo mwanana unazifurahisha nyoyo zenu.
Mnakumbushana milima na mabonde mliyopitia. Mnacheka kwa furaha huku mkipongezana na kumshukuru Mungu kwa jinsi mnavyovumiliana na kupenda.
Mnaongelea kuhusu mipango yenu kazini, na namna ya kuboresha miradi yenu binafsi.
Mkiwa katikati ya maongezi, anatokea jamaa mmoja.
Ghafla anaanza kumrapua vibao mkeo eti anaringa sana.
Humfahamu wala hujawahi kumuona.
Siku hiyo ndio unamuonba kwa mara ya kwanza na hii ndio picha yake hali baada ya kumaliza kumpiga mkeo
1505154_10152478725435579_6129223777830093830_n.jpg


Je utamfanya nini ili kumzuia asiendelee kumuumiza mkeo?

kalapina aliwai kumkimbia mtoto mdogo wa kiarabu alieshika shaba mara baada dem wa huyo dogo kukanyagwa na kala pina baada ya dem kuuliza why unanikanyaga pina akaanza kuleta usela mavi wake na majibu ya bange na hisia za kijiweni dogo hakuongea akatoa manati ya mzungu na kupiga moja juu kisha kumuoneshea pina .......
 
Hebu fikiria, umetoka na mkeo kwa ajili ya mlo wa jioni.
Mgahawa ni mzuri uko pembezoni mwa bahari. Upepo mwanana unazifurahisha nyoyo zenu.
Mnakumbushana milima na mabonde mliyopitia. Mnacheka kwa furaha huku mkipongezana na kumshukuru Mungu kwa jinsi mnavyovumiliana na kupenda.
Mnaongelea kuhusu mipango yenu kazini, na namna ya kuboresha miradi yenu binafsi.
Mkiwa katikati ya maongezi, anatokea jamaa mmoja.
Ghafla anaanza kumrapua vibao mkeo eti anaringa sana.
Humfahamu wala hujawahi kumuona.
Siku hiyo ndio unamuonba kwa mara ya kwanza na hii ndio picha yake hali baada ya kumaliza kumpiga mkeo
1505154_10152478725435579_6129223777830093830_n.jpg


Je utamfanya nini ili kumzuia asiendelee kumuumiza mkeo?

Umenikumbusha kuna jamaa alileta uzi hapa...walikua wameenda matembez usiku,wakavamiwa na vibaka..then demu akashikwa wakitaka kumgegeda, baada ya kumvua wakakuta dem yuko kwenye siku zake!!
Wakasema "rungu la babu halirudi bure" wakataka kumpiga jamaa 0713 ..kwan jamaa alikumbuka kama demu wake kashikwa na vibaka!!???? Alopopata upenyo tu ndukii!!!
BINAFSI INGENITOKWA MIMI....KWANZA NISINGEANGALIA UMBO LA JAMAA...NI NGUMI ..MAWE...VITI...ASEE HUWEZ NIPIGIA 'MY MPENZI WANGU' NIKIWA NAONA!!!
 
Huyo hiyo misuli ni mishikaki tu!! Uzuri mie Panga huwa ninalo 24/7 hapo panga tu ama manati kama kombeo la daudi!!! nywiiiii- na linanguka
 
Hakuna kitu, mbele ya mama Njokii sikuachi hivi hivi! Kwanza haya ma-baunsa dawa yao ni NGWALA tu, ni wazito juu lakini chini hamna kitu, piga mtama, ukianguka chini nang'ata pu.mbu! Lol..
 
Anaongelewa mke we unaleta usharobaro!!!!!!
Umeona eeh?!! Labda kwa kabila lao Mke ni Manzi maana wenzake wote wanaongelea issue ya mke yeye anaongelea Manzi :wink2:? TANMO kwani umeoa mwanangu? Yaani mie siwezi angalia mume wangu anapokea mkongoto jamani....hata kumng'ata huyo jamaa nitamng'ata halafu baadae ndio nijue kwanini anapigwa
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kitu, mbele ya mama Njokii sikuachi hivi hivi! Kwanza haya ma-baunsa dawa yao ni NGWALA tu, ni wazito juu lakini chini hamna kitu, piga mtama, ukianguka chini nang'ata pu.mbu! Lol..
Ha! ha! ha! Uuuwi! Hii inaitwa "Chezeiya my waif wake makoye78 wewe"?!!
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kuogopa ukubwa wa samaki uliza bei...,mkono mkono mkono,visu,viti,meno nk halfu hawa nikupiga kichwa tu
 
Kiukweli mijamaa ya namna hiyo ngumi zao inakuwa hazichomoki kabisa,kwasababu ya hizo massive muscles walizotengeneza,then hawana pumzi alafu sio wepesi. Ukiwa mjanja hafikishii hata dakika 2,..muhimu usimpe chansi mkaminyana,itakula kwako.
 
Kiukweli mijamaa ya namna hiyo ngumi zao inakuwa hazichomoki kabisa,kwasababu ya hizo massive muscles walizotengeneza,then hawana pumzi alafu sio wepesi. Ukiwa mjanja hafikishii hata dakika 2,..muhimu usimpe chansi mkaminyana,itakula kwako.

Kweli mkuu anaweza kukurusha mita 1000 kutoka eneo la tukio..hatari sana ila maujanja tu kuzidiana..
 
Ukubwa wa kichwa haimaanishi kuwa na akili nyingi. Katika sanaa ya mapigano kinachotakiwa ni akili, mbinu,maarifa, wepesi na pumzi ya kutosha. Kwa wale waliocheza judo watanielewa vizuri. Kuna kitu kinaitwa KUZUSHI kwa Kijapani ikimaanisha KUMDE-STABILISE ADUI. Kuzushi ikifanyika vzr mtu wa 60kg anaweza kumwangusha hata mtu wa 90kg. By the way, ma bounsa wengi huwa hawana mbinu za mapigano.
 
Huo mwili puto tu dawa yake kiwembe. Hapo unakuwa mpole unamchukua mkeo unaondoka ila unadili na hilo puto kimya kimya,wapo watu wa kuwashughulikia watu kama hao ni hela yako tu,mbona anapigika tu huyo.
 
Umeona eeh?!! Labda kwa kabila lao Mke ni Manzi maana wenzake wote wanaongelea issue ya mke yeye anaongelea Manzi :wink2:? TANMO kwani umeoa mwanangu? Yaani mie siwezi angalia mume wangu anapokea mkongoto jamani....hata kumng'ata huyo jamaa nitamng'ata halafu baadae ndio nijue kwanini anapigwa
Kazi kwelikweli
 
hahahaaaaa..umeua...

Mkuu haya mambo yapo, kwa cc tuliokulia uswahilini na tunaojumuika na washkaji Bar za uswazi tulishaona haya yakitokea. Yashawahi kumkuta mwanangu ( mshikaji wangu) mmoja Deluxe Bar magomeni, na mshikaji alikuwa sio mkewe, mpenzi tu. Jamaa alijitusua akashika makalio ya demu wa mshikaji wangu, mshikaji alipomuuliza kisa cha kufanya vile akajibiwa na ye mwenyewe ku....... a tu kama alivyo demu wake. Kilichotokea baada ya jibu lile sijui mpk leo, nilishtukia mshikaji alieshika makalio ya shemeji yangu shavu la kushoto linaning'inia. Tukio lingine linalofanana na hilo nililiona Club Ughaibuni huku Wamarekani wanajeshi walitaka kupora demu wa M-Cambodia,palitaka kupandwa Mikorosho kwenye lami huo mtiti wake, hata walipokuja polisi ilibidi waangalie kwanza vumbi linavyotimka, mambo haya babu yapo, yapo sana tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom