Ama kweli JF sasa imeingiliwa.
Yaani watu wazima na akili zetu na matatizo na changamoto tulizonazo bado kuna kati yetu ambao kazi yao ni kuangalia matumbo ya wake za watu ili kujua kama wana mimba au la? I just dont know what to say kuwa sisi wanajamii who dare to speak, who dare to analyse issues of national interest can stoop this low"""""'