Mke wa rafiki yangu

Cha msingi jiridhishe kwanza kwamba hizo taarifa zina ukweli pasipo na shaka, baada ya hapo mwambie kuhusu hiyo issue

 
Naona umeamua kuvunja ndoa ya rafiki yako! mambo ya Ngoswe mwachie mwenyewe!
 
mleta mada, kabla ya kumtonya rafiki yako, nakushauri ungeenda kwanza kupima afya yako. unaweza kuwa bize na afya za watu kumbe yako pia inamgogoro.
 
Bora amchane bila chenga hii tabia ya kuzungukazunguka inaweza sababisha jamaa akapuuzia ikala kwake
 
Ingekuwa mimi siyo tu ningemwambia bali pia ningemsaidia kudeal na huyo FC. Huwezi kumtekeza rafiki yangu kwa ukimwi tena kwa makusudi halafu tukuache hivi hivi.
 
dah! very sad, simple chukua line mpya ya sim fanya hiyo kazi! uzuri line mpya inaweza fanya kazi hata kwa 7days kabla haijawa blocked
 
Mwambie unangoja aambukizwe ujilaumu?
 
Jamaa yako hapigi sehemu nyingine toka mke wake aondoke? Kama anapiga, kuna usalama kiasi gani? Haya mambo ni magumu sana.

Mtu mzima atajua mwenyewe namna ya solve masuala yake.
 
Mtumie sms na unknown number and send the clear message to him.
 
Ni bora amuojoe na janga iloo
Mwambie sasahiv muda juu jamaa etu maana ukichelewa tu na jamaa utamuua ndg tena fanya upesi kama huna huna nauli tukuchangie ukamwambie leoleo wanawake wa kileo ni pasua vichwa pengne yy ndo alimvuruga jamaa etu ili aende kupokea zawadi ya maradhi then amletee mmewe.Ee mola tusamehe Ss wakosefu!
 
Sheria kama haipo nchini kwetu iwekwe sasa juu ya hawa wanaoambukiza makusudi wakione cha moto kama nchi zingine zinavyofanya hivyo. Nasoma sana juu ya issue hii na inasikitisha watu wanaona maovu na hawasemi kitu, na mtu anatamba kutenda mabaya hayo kwa makusudi kama vile mfalme fulani.
 
Ni swala la uhai wa mtu..huoni kama akiacha hii kitu itamtafuna sana?
Obvious mkitengana mtu.akirudi wapime.lakini asimwambie habari ya yule dada kuchepuka na mwathirika.je wakipima na asipokuwa na maambukizi huyo aliyepeleka habari ataaminika bado?
 
Obvious mkitengana mtu.akirudi wapime.lakini asimwambie habari ya yule dada kuchepuka na mwathirika.je wakipima na asipokuwa na maambukizi huyo aliyepeleka habari ataaminika bado?

Hapo sawa..lakini hata asipokutwa na maambukizi, at least atakuwa makini.
 
mleta mada, kabla ya kumtonya rafiki yako, nakushauri ungeenda kwanza kupima afya yako. unaweza kuwa bize na afya za watu kumbe yako pia inamgogoro.
jf bhana,kuna watu mnavituko hadi raha! wewe hutaki kujadili mada unataka kumjadili mleta mada! hatari....Manuu uje ujibu tuhuma hapa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…