Mke wa Padri

Mimi namfahamu mama mmoja mke wa mtu anamegwa na Padre mmoja live kabisa! Jamaa kapewa cheo cha mweka hazina wa kanisa. Jamaa akisafiri baba paroko anaenda kummega mama kitandani kwa jamaa kabisa. Huyu baba paroko kaamishiwa kwingine lakini mke huyu wa mtu anamfuata hukohuko.
Nilimuuliza huyo padre kuwa kweli anaweza kuniungamisha wakati najua naye ni mzinzi? Mimi baada ya kujua hilo sikusali kanisani kwake hadi alipoondoka. Ilibidi nihamie kanisa lingine. Inasadikika kuwa mapadre wengi wana familia zao (kwa maana ya ana mke na watoto pia). Hao ndio wachungaji wa kondoo wa bwana.

Niliwahi kusema hapa hapa NI KWA NINI HAWA MAPADRE WA KANISA KATOLOKI WASIRUHUSIWE TU WAOE KULIKO KUISHI DAMBINI? Kwa nini wanapalilia njia ya kwenda motoni hivyo?
 
Mimi namfahamu mama mmoja mke wa mtu anamegwa na Padre mmoja live kabisa! Jamaa kapewa cheo cha mweka hazina wa kanisa. Jamaa akisafiri baba paroko anaenda kummega mama kitandani kwa jamaa kabisa. Huyu baba paroko kaamishiwa kwingine lakini mke huyu wa mtu anamfuata hukohuko.
Nilimuuliza huyo padre kuwa kweli anaweza kuniungamisha wakati najua naye ni mzinzi? Mimi baada ya kujua hilo sikusali kanisani kwake hadi alipoondoka. Ilibidi nihamie kanisa lingine. Inasadikika kuwa mapadre wengi wana familia zao (kwa maana ya ana mke na watoto pia). Hao ndio wachungaji wa kondoo wa bwana.

Niliwahi kusema hapa hapa NI KWA NINI HAWA MAPADRE WA KANISA KATOLOKI WASIRUHUSIWE TU WAOE KULIKO KUISHI DAMBINI? Kwa nini wanapalilia njia ya kwenda motoni hivyo?

Ah...pengine wanajua wanachokifanya..HUENDA HATA HUKO MOTONI WAMEKUBUNI TU, WALA HAKUPO!
 
:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:

EEh kweli umejipindia! Ila hala hala usitutotoroke getini siku ukihakikishiwa uwepo wake!

Aithee kiongodhi, thatha daktari akianza kukwambia 'hii ni thumu, ukijidunda utakufwa!' halafu anaandha yeye menyewe kujidunga wewe utamchukulieje? je inaleta maana??
 
Ni rafiki yetu wa familia. Tulifahamiana tangu high school. Amekua na mahusiano na msichana mmoja ambae baadae alikuja kugundua kua anatoka na baba paroko.amejengewa nyumba pia

Wakiwa chuo kikuu kimoja huko jijini wanakopatikana masangara, rafikiangu huyu alijaribu kumsihi mpenziwe huyu aachane na padri ikiwa kweli alikua tayari kuwa nae kwa rest of maisha yake. Binti alikua anamdanganya mara kwa mara kua ameachana na padri lakini jamaa akaja kuwabamba live room kwa huyo dada. Lilizuka vurugu kiasi kua padri alimtishia jamaa maisha ( hata kimasomo kwani mtumishi huyu ni mdosi katika chuo walichokua wanasoma) yeye hakutaka kumtosa binti kwa madai kua alimpenda sana ingawa tulimshauri aachane nae.

Baada ya muda sasa wamemaliza chuo na kijana kwa mapenzi mema alimtambulisha binti kwa baadhi ya ndugu ikiwemo mama yake mzazi ambae alimpenda sana huyo mkwe. Ila kijana hakuwahi kumwambia mamake tabia ya huyo mpenziwe,akidhani atarekebika.

Dada juzijuzi akadai anakitumbo ndii (haijulikani kama ni padri au jamaa) akademand kutoka kwa kijana kua aende kumtambulisha ili maandalizi ya ndoa yafanywe, kijana alikubali ila kwa masharti kua anataka binti amthibitishie kua hana tena mahusiano na baba paroko.bint akadai kua angempigia simu wakiwa pamoja ili athibitishe lakini siku ilipofika hakukubali kupiga simu. Kijana akampa live kua hapo ndo mwisho wa mapenzi yao.

Binti kwa kujua kua mama mkwe anamfagilia akakimbilia kwa mama kumtaka amsaidie ili mwanae amkubali tena. Kijana akaona isiwe tabu akamsimulia mamake kila uozo wa binti kitu ambacho kiliamsha hasira ya mama. Hataki hata kumsikia na binti kwa kujua hilo juzi kaumwa ghafla na sasa kalazwa hospitali hoi. Baadhi ya ndugu wa dada wanamsihi jamaa amsamehe, sisi kama marafiki tumemsihi amsahau maana mara nyingi hawa watu wanaokua na mapadri huwa hata waolewe huwa wanaendeleza hayo mahusiano.

Kachanganyikiwa hajui afanyeje, wanajamii hebu nipeni ushauri wenu kuhusu huyu ndugu maana msimamo wake naona hauna mashiko.

Mambo ya mapenzi yako kama kimiminika kiitwacho zebaki (mercury). Zenaki ukiiweka kwenye chombo chenye umbo la mviringo inakuwa ya mviringo. Ukiimimina kwenye chombo chenye umbo la mraba ina kuwa na umbo la mraba, kwenye chombi chenye umbo la pembe tatu kinakuwa na umbo la pembe tatu. Nataka kusema mapenzi hayachagui mtu.

Anybody can look a fool when falling into love. Kuna wakati nili'fall into love' na mshichana fulani kutoka Uganda na tulikuwa tunasoma lugha pamoja huko Malawi. Siku alipokuwa haji darasani nilikuwa 'restless'. Ikabidi siku moja nipige moyo konde na kumwendea chumbani mwake na kumwambia nilivyokuwa nijisikia na kuhangaika. Ila nilimwomba anielewe na asidhani nataka nilale naye. Bahati nzuri alinielewa na akanishukuru kwa kujitambua. Aliniambia kuwa aliona nilikuwa tofauti na wanaume wengine katika kundi letu kwani wengine walikuwa wakimsumbua sana na walitaka walale naye lakini aliwakatalia wote.

Kwa upande wangu, nilipomwambia vile, tangu siku hiyo niliona mabadiliko katika fikira zangu. Ile hali ya kunisumbua kupita kiasi ikawa imekoma na tulimaliza muda wa chuo bila kufanya naye mapenzi ila tulishirikiana sana na hata kwenye 'outings' tulikuwa tunaenda pamoja.

Hivyo, inategemea jinsi gani mtu anavyoweza kupokea hisia zake na namna ya kuzielekeza zisimpe au kumfanya awe wa ajabu. Mtu anaweza kuwa padre asiwe bado ame'fall into love' na ikijakutokea kwake anashindwa namna ya kufanya: 1) anaona aibu kusema kwa wenzake 2) hisia zinaweza kumfanya akose usingizi kila siku 3) anaweza kushawishika afanye mara moja tu na kuacha kabisa (wakati mwonja asali huchonga mzinga).

Kwa kifupi, mapenzi yanamfanya kila mmoja wetu aonekane kioja mbele ya wengine! Hakuna shujaa!
 
Mimi namfahamu mama mmoja mke wa mtu anamegwa na Padre mmoja live kabisa! Jamaa kapewa cheo cha mweka hazina wa kanisa. Jamaa akisafiri baba paroko anaenda kummega mama kitandani kwa jamaa kabisa. Huyu baba paroko kaamishiwa kwingine lakini mke huyu wa mtu anamfuata hukohuko.
Nilimuuliza huyo padre kuwa kweli anaweza kuniungamisha wakati najua naye ni mzinzi? Mimi baada ya kujua hilo sikusali kanisani kwake hadi alipoondoka. Ilibidi nihamie kanisa lingine. Inasadikika kuwa mapadre wengi wana familia zao (kwa maana ya ana mke na watoto pia). Hao ndio wachungaji wa kondoo wa bwana.

Niliwahi kusema hapa hapa NI KWA NINI HAWA MAPADRE WA KANISA KATOLOKI WASIRUHUSIWE TU WAOE KULIKO KUISHI DAMBINI? Kwa nini wanapalilia njia ya kwenda motoni hivyo?

Ila wakatimwingine ni habari za kupika. Padre akionekana na msichana fulani kwenye gari mambo yanasemwa mengi tofauti kama akiwa mvulana (ingawa siku hizi kama mvulana naye anaonekana mara kwa mara na padre watu wanaanza kubuni hadithi). Nilishasema kuna faza mmoja huko Malawi aliundiwa hadithi kuwa anaenda na mke wa mtu na kuna ushahidi kabisa. Ikabidi askofu amkatae jimboni kwake. Baadaye ikagundulika kuwa gari la padre lilikuwa linafanana na gari la mume ambaye alikuwa akifanya Afrika Kusini na huyo bwana alifika jioni na kupaki gari nje ya nyumba yake.

Watu walipoona vile wakavumisha kuwa ni padre lakini cha ajabu wakaona gari lile lipo karibu wiki nzima na wakati gari la padre linatoka kila siku. Ukweli ulikua kugundulika wakati padre alishaamua kuacha ufaza baada ya kuona kuwa laiundiwa uongo, ambao hata askofu aliufanyia kazi. Mtu mmoja tu akishavumisha 'padre anaenda na mke wa jamaa' hata bila uhakika wowote watu wanaamini ni kweli.

Baadhi ya mafaza, of course, wanafanya kweli lakini siyo kweli habari ikivuma ikawa kweli pia kwa msingi wa kuvuma kwake.
 
Back
Top Bottom