Tafuna mnofu huo, mwenzio kakumiss unambwela mbwela nini sasa?
Tafta chimbo zuri then kamtafune kwa uzuri kabisa!
Kwa ndoa za sikuhizi hakuna asiechapiwa period!
Msijifanye kumkalipia mshikaji wakati wengi wenu mnaongoza kwa michepuko!
1. Unajua huyo dada an ex wangapi?
2. Unajuaje kama nao anawaambia hivyohivyo?
3. UKIMWI ni hatari!
Ikiwa utapuuzia ushauri huo...basi siku unayoenda kushugulikia huyo mke wa mtu, hakikisha unabeba KY kabisa...just incase...... jamaa amekukamata