yani demu kavua nguo alafu anatoa macho kama najua kinachotokea
mkuu hao ni bongo movie mwizi anaingia sebuleni anavua kwanza viatu
Jamaa kawa mdogo...
Hakuna kitu hapo, soma uso wa demu utaona wanapiga picha tu hao
Kweli maigizo. alipata wapi muda wa kuvaa suruali na shati?
Huyo Dada mbon hata hofu hana