Mke wa mtu sumu, jamaa kakatwa dushe

samurai1411

Member
Jan 12, 2016
20
9
1454132926760.jpg
 
Huu usenge ndio ulifanya niachane na yule mke wa mtu.... Yangenikutaga na mimi labda
 
Amri 10 za Mungu

1. ..........
2. ..........
3. ..........
.
.
.
10.Usiitamani nyumba ya jirani yako; wala mke wake, wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako.
 
Poa tu, ila nisijue

Mbona mimi huyo nilikuwa natembea nae na mmewe hajui na hakukuwa na shida mpaka alivyoanza kunogewa na kumnyima mmewe unyumba nikamwambia chapa lapa sitaki kufumuliwa marinda.... Sasa kumbe bora marinda ukikata mtarimbo nitaishije unafikiri.... Ha ha ha
Mmh haya mzee
 
Back
Top Bottom