samurai1411
Member
- Jan 12, 2016
- 20
- 9
Duuu!!!!!!!!!!!!!!! wapi huko?
Kila mtenda hutendwa subiria kwa mkeoHuu usenge ndio ulifanya niachane na yule mke wa mtu.... Yangenikutaga na mimi labda
Pamebaki flat inauma mno...! Lakini mshahara wa dhambi ni mauti na mauti si lazima yawe ya kuangamiza roho
Poa tu, ila nisijueKila mtenda hutendwa subiria kwa mkeo
Hapo ndo basi tena hakunaga ya bandia..Daaah! R.I.P Mr Dushe!
Mmh haya mzeePoa tu, ila nisijue
Mbona mimi huyo nilikuwa natembea nae na mmewe hajui na hakukuwa na shida mpaka alivyoanza kunogewa na kumnyima mmewe unyumba nikamwambia chapa lapa sitaki kufumuliwa marinda.... Sasa kumbe bora marinda ukikata mtarimbo nitaishije unafikiri.... Ha ha ha
ha ha ha ha..Daaaah ajali kazini