maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,120
- 4,850
- Thread starter
-
- #61
hata ibilisi anaweza tupia thread humu.....na uzi ukaendelea...
Kama umesamehe basi hujasahau ndomana uzi wako unasomeka kimachungu zaidi
Hawadanganywi mkuu, ukiona kakubali kakuelewa wala hujamdanganya koo ata usingesema wewe angesema yeye
Kusema mtu kaibiwa au kamuiba mtu mwingine katika muktadha wa mke na mume wa mtu ni kualalisha ujinga, kusema mwanake ni dhaifu ndo mana anaweza kuibiwa hizo ni inferiority complex walizokuwa nazo kipindi cha zama za mawe hambazo hazina mantic yoyote kwenye dunia ya sasa. Mwanaume anatongoza ila si kila mwanaume anayemtongoza mwanamke, Mwanamke huyo akubali. Kwanini utongoze mke wa mtu huku unajua ni mke wa mtu na mke wa mtu kwanini ukubali ukitongozwa wakati unajua kuwa ni mke wa mtu.Umefika mbali mkuu
Agiza nakuja kulipiqKusema mtu kaibiwa au kamuiba mtu mwingine katika muktadha wa mke na mume wa mtu ni kualalisha ujinga, kusema mwanake ni dhaifu ndo mana anaweza kuibiwa hizo ni inferiority complex walizokuwa nazo kipindi cha zama za mawe hambazo hazina mantic yoyote kwenye dunia ya sasa. Mwanaume anatongoza ila si kila mwanaume anayemtongoza mwanamke, Mwanamke huyo akubali. Kwanini utongoze mke wa mtu huku unajua ni mke wa mtu na mke wa mtu kwanini ukubali ukitongozwa wakati unajua kuwa ni mke wa mtu.
Hizo ni hisia zako mkuu
Napingana na wewe kabisa kwamba mwanamke yeyote ukimpania unampataHabari mkuu, naomba nipingane na wewe kidogo.
Tunaposema mke wa mtu anaibwa tuna maana ya kuwa... mwanamke ni kiumbe dhaifu ambaye kwa ushawishi wa mwanaume hawez kuruka viunzi vyote, atalaghaiwa kila mbinu mpk anaingia kwenye line.
Mwanamke yeyote ukimpania unampata......
Ktk tamaduni zetu za kiafrika, mwanaume ndye humtongoza mwanamke, hvyo mke wa mtu anatongozwa na kulaghaiwa mpk anakubali
Mtu unajua kabisa huyu ni mke wa mtu, unaanza kumpigia misele.... hivyo mwenye kosa ni mwanaume.
Mwanaume ndye huchepuka kwa hiyari kwa sababu hatongozwi, anatongoza yeye.
NIMEMALIZA