Mke wa mtu haibiwi

Mkuu huwez kupambana na asili, mwanamke ni kiumbe dhaifu kuliko mwanaume.... ktk utashi na kila kitu.

Jinsia haziwez kuwa sawa kwa kila kitu, mwanamke ameumbwa kutokana na mwanaume.....

Mke wa mtu anashawishiwa ila mume wa mtu hashawishiwi... anashawishi[emoji3]
Hao sio viumbe dhaifu labda kama umeamua kuwatetea tu kumbuka sasa ni haki sawa

Wanawake wa zamani ndio walikua dhaifu maana waliwekwa nyuma kwene kila kitu kuanzia elimu ambayo ndo nguzo muhimu
 
acha kuishi kwa kukariri mkuu zungumzia maisha halisi
 
Maisha halisi yapi mzee? Kwa hiyo unataka kujfananisha na mwanamke? Nimekuuliza, anayetongozwa ni mwanamke au mwanaume? Hv unajua kuwa mwanamke ukimtongoza bila kukata tamaa unampata?
unaongelea maisha ya kwene season mkuu zungumzia maisha halisi
 
Ndio maana mimi nimemwambia azungumzie maisha halisi sio ya kwene season za kikorea
 
Mleta mada anaitwa Maji ya gundu?

Okay, muhudumu leta nyingine!
 
Abiola anawaki tu anasema hiihiii...
 

Unaonekana unauchungu sana ndani yako ambao hautakusaidia chochote zaidi ya kukupa kiungulia unapokutana na maswala ya hao viumbe jifunze Kusamehe na kusonga mbele
 

Unaonekana unauchungu sana ndani yako ambao hautakusaidia chochote zaidi ya kukupa kiungulia unapokutana na maswala ya hao viumbe jifunze Kusamehe na kusonga mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…