Mke wa mtu aning’ang’ania


naomba uelewe mm sijavunja ndoa ya watu.na matatzo walionayo kwenye ndoa yao na mmewe mm hayaniusu.mm nampa faraja ya kutosha.na nipo upande wake na si vinginevyo
 
hahahaah, ukiona ivyo unanyota ya kupakuliwa kisamvu , we endelea nae tu badobado
 
Ingekuwa ni wew mimi namfanyia hivyo mkeo ungefanyaje....mwache na awe rafiki yako acha tamaaa utaumiza familia isiyo na hatiaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…