Mkwala
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 1,180
- 1,277
Wasalaam,
Kuna mjomba wangu mmoja ametongozwa na Mke wa mtu na amemtaka hata ampatie mimba tuu.
Huyu dada ni mke wa mtu na ana watoto wawili.Cha kushangaza anasema mume wake siyo chaguo lake kwani hampendi hata kidogo.
Anaendelea kueleza kuwa jamaa alitumia nguvu "first touch na kibendi" hivyo pamoja na yote ikamlazimu amkubalie kishingo upande kuolewa.
Sasa huyu Uncle mimi nipo naye karibu kama Mdogo angu hivi amenipa hii story nikabakia mdomo wazi.
Naombeni msaada wa hili tuta ili za kuambiwa nichanganye na zangu,zake tujinasue.
For the record ashakula papuchi.Kweli wake za watu wana mamboo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mjomba wangu mmoja ametongozwa na Mke wa mtu na amemtaka hata ampatie mimba tuu.
Huyu dada ni mke wa mtu na ana watoto wawili.Cha kushangaza anasema mume wake siyo chaguo lake kwani hampendi hata kidogo.
Anaendelea kueleza kuwa jamaa alitumia nguvu "first touch na kibendi" hivyo pamoja na yote ikamlazimu amkubalie kishingo upande kuolewa.
Sasa huyu Uncle mimi nipo naye karibu kama Mdogo angu hivi amenipa hii story nikabakia mdomo wazi.
Naombeni msaada wa hili tuta ili za kuambiwa nichanganye na zangu,zake tujinasue.
For the record ashakula papuchi.Kweli wake za watu wana mamboo
Sent using Jamii Forums mobile app