We hiyo action ulivyoielezea hapo hata jogoo lingesikiliza lingebaka bata aliyekaribu khaa!:hat::A S-confused1: Shem I am confused.... Silewi ni vipi mimi kua aggressive na consistently on demand kwa Sweetie inahusiana na shati lako kuchomekwa.... Care to clarify pleeease??:nerd:
Usimjibu sms zake, mke wa mtu sumu ndugu yangu!
We hiyo action ulivyoielezea hapo hata jogoo lingesikiliza lingebaka bata aliyekaribu khaa!:hat:
AD Nimekusoma,
Hili li anti ningekuwa enzi hizo najuwa sheria ningelishitaka kwa child abuse, lilianza kunipa nikiwa 16, ingawa nilikuwa balehe na tall, slim dark and handsome, lakini ilikuwa si kulala nalo. Ilikuwa ni kulila tu, si unajuwa utoto?
Kuhusu ile ya kuja kwako, nilikuuliza kama mna swing na mumeo? kama yes, nitegemee, kama ham swing, unantafutia kifo?.
Siyo hivyo shem tena ntake radhi.... Ila katika mazingira haya uloyasema wewe kuna mwanaume yeyote rijali atakayeacha kufanya hayo makitu..... Hebu jisomee mwenyewe ulivyonitega....
Ewe Mungu tunusuru!:hatari:
yeye amekuzidi miaka 13. kwa kawaida labda mumewe kamzidi yeye miaka 10 hivi jumla miaka 23. Huyo jamaa ndie best wako anaekuzidi miaka takriban 23 !!!!!! SIJAKUSOMA MKUU.Thank you but ni family friends na mumewe ni best angu pia, ndo maana nashindwa kujua nikikosana nae itakua na effect gan kwa shemej(mumewe)
Ishia hapohapo...tena:focus:Dah! shemeji yangu una mzuka wewe!! lol.... Hapa ni kwa maneno tu.... Je??:shock:
Dah! shemeji yangu una mzuka wewe!! lol.... Hapa ni kwa maneno tu.... Je??:shock:
Afu yule kijana mzuri amekujibu kule.... hata wakaka wanamshobokea eti!atakuwa tayari kui-face miaka 30 jela
itakuwa with or without consent.
atakuwa tayari kui-face miaka 30 jela
itakuwa with or without consent.
Ishia hapohapo...tenaa:focus:
Ishia hapohapo...tena:focus:
Ngoja nimpigie mwenyekiti......Haya twende kazi dogo alale na huyu mama alie mzidi miaka 13? Sheria yetu ya MMU inasemaje?
Hili naona hata yeye kaliona.... msome hapa chini.....:lol:
Done!!!
Ngoja nimpigie mwenyekiti......
Afu yule kijana mzuri amekujibu kule.... hata wakaka wanamshobokea eti!
Ribosome still one for that visit at my home? lol
Eways B2T huyo antii ulikua humuheshimu ulikua wamsanifu...
I bet rafiki zako woote walikua wajua kua umelala nae.... Ungekua unamheshimu....
- Huo mbanjuko ingekua siri yako na yake daima. Usingehema kwa mwingine.
- Usingemtaja hapa kwa kusema "Nilikua nalilia anti" ni dhahiri ulikua humuheshim. Walau ungesema kwa heshima kua kuna anty nilikua nalala nae wakati nikiwa mdogo na nilimheshim (taking note wasema hapa sababu hatujuani)
- Attitude yako inaonesha ukisha lala na mwanamke heshima kwako inakufa..... Sad. Hebu toa heshima bana, sidhani kama wabandua na kuondoka nayo hadi uwe na dharau hivo... sio uwanaume huo jamani.
Narudia.... Karib nyumbani.