wanawake sio wa kuwaamini,tena ogopa mwanamke anayeweza kutoa siri za ndani kwake kwa mtu baki wakati kuna wazazi wake hata kama ni sogea tuishi,nachojua nyumbani kukiwa na tatizo lazima kama familia mkae kwanza mujue tatizo ni nini
mwanamke pia unatakiwa kuangalia mwanamme anapitia changamoto gani kama psycholojia haiko sawa basi ujue na unyumba itakuwa shida.
Ushauri wangu kaa naye mbali