Mke wa Mrema azikwa aliliwa kila Kona, mchango wake kuenziwa

Mbona alishindwa kumshauri mmewe amuunge mkono mgombea wake wa TLP badala ya kumuunga mkono mgombea wa CCM Magufuli!
 
Wewe bila kumtaja Mbowe husikii raha ese?
Uwe unajadili kilichopo mezani. Sawa?
Kila saa Mbowe, Mboweee au ndio ile 'mti wenye matunda kuurushia mawee', anyway its Up to you!
Mbowe akifungwa nitafanya sherehe kubwa ,kubwa sana

USSR
 
Mbowe akifungwa nitafanya sherehe kubwa ,kubwa sana

USSR
Sisi ni binadamu na sio nyani. Unachosema utafanya ni tabia za kinyani, wewe ni binadamu?
Usifurahie mateso ya mwenzio sababu tu ya tofauti ya kimtazamo.

Orodhesha hapa sababu zako za msingi zitakazokufanya ufurahie.
 
Sisi ni binadamu na sio nyani. Unachosema utafanya ni tabia za kinyani, wewe ni binadamu?
Usifurahie mateso ya mwenzio sababu tu ya tofauti ya kimtazamo.

Orodhesha hapa sababu zako za msingi zitakazokufanya ufurahie.
Nyani nyie wakati tunamzika JPM hamkufanya sherehe ,ni zamu yenu sasa

USSR
 
Nyani nyie wakati tunamzika JPM hamkufanya sherehe ,ni zamu yenu sasa

USSR
1.Weka picha tuone hiyo sherehe unayoisema.

2. Orodhesha sababu zako zinazofanya usherekee Mbowe akifungwa.
1.
2.
3.
4.
5.
Vinginevyo itakuwa uatakuwa na tabia za kinyani nyani.
Kuwa binadabu, ishu, weka virungu chini shindanisha hoja, basiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…