Mke wa mbunge wa zamani Arusha mjini kadhulumiwa nyumba na kulala nje

Mke wa mbunge wa zamani Arusha mjini kadhulumiwa nyumba na kulala nje

Busu la Kenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2025
Posts
2,310
Reaction score
4,206
Mke wa mbunge wa zamani Arusha Felix Mrema kadhulumiwa nyumba na kutupiwa vitu vyake nje.

Licha ya mahakama kuu Arusha kutoa uamuzi wa mgawanyo wa mali kati ya Milka Mrema na mume wake Felix Mrema lakini kazuiwa kuingia kwenye nyumba yake ambayo iliuzwa kwa mmiliki mpya.

Sasa hivi mama huyo analala nje na vitu vyake vilivyotupwa.

Mama huyo anamuomba Rais samia aingilie kati amsaidie. Pia kaendelea kusema ajipiganii pekee yake bali na wanawake wote wanaonyanyasika.

Felix Mrema alipotafutwa kwa njia ya simu kwa madai ya kutuumiwa kuuza nyumba hiyo alikataa kulizungumzia swala hilo na kusema mambo yako mahakamani.

Video hapo chini.

 
Aliyekupa nyumba judge aliyejenga nyumba Mrema nani anayejua gharama zake?

Yaani kalamu ya Tsh 200/= ikupe nyumba sometimes wewe ndiye uliyetikisa meza?sisi ni matajiri halafu vitu vimekaa nje siku 20+ una utajiri gani wewe?
 
Aliyekupa nyumba judge aliyejenga nyumba Mrema nani anayejua gharama zake?

Kalamu ya Tsh 200/= ikupe nyumba sometimes wewe ndiye uliyetikisa meza?sisi ni matajiri halafu vitu vimekaa nje siku 20+ una utajiri gani wewe?
Huwezi juwa kwenye account inasomeka ngapi!
 
mapingamizi na maamuzi ya kisheria za kesi hiyo ndefu

THE HIGH COURT OF THE UNITED. REPUBLIC OF TANZANIA
[IN THE DISTRICT REGISTRY]
AT ARUSHA
MISC. CIVIL APPLICATION NO.84 OF 2016
(C/F Matrimonial Cause No.1 of 2009)
MILCAH KALONDU MREMA .......APPLICANT
Versus
FELIX CHRISTOPHER MREMA, .............................. RESPONDENT

RULING
Date of last Order: 20/06/2016 ,
Date of Ruling: 18/07/2016 I
BEFORE: S.C. MOSHI, JUDGE. :
The application is made under Section 14(1) of the Law of
Limitation Act, Cap. 89 R.E 2002. The applicant prayed for the following1
orders:-
i. That, the applicant be granted extension of time to file an
application to set aside High Court order for ex-parte hearing of
· Matrimonial Cause No. 1 of 2009 dated 9th October 2010.
ii. That costs of this application be provided for
J
The application was supported by the affidavit which was sworn by
the applicant. The applicant was represented by Mr. Materu advocate
Read more : https://tanzlii.org/en/akn/tz/judgment/tzhc/2016/2520/eng@2016-07-18
 
Vijana tujifunze kutoka kwa wazee wetu hawa waliofikishana hadi mahakama ya rufaa

Soma :

THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA
AT ARUSHA
f CORAM; WAMBALI. J.A.. KENTE. 3.A. And MURUKE. J.A.)
CIVIL APPEAL NO. 201 OF 2021

MILCA KALONDU MREMA ................... ....................................... APPELLANT

VERSUS

FELIX CHRISTOPHER MREMA .................................................. RESPONDENT
(Appeal from the Judgment and Decree of the High Court of Tanzania at Arusha)
fGwae, J.)Dated the 28th day of February, 2020 in Dc, Civil Appeal No. 9 of 2018


JUDGMENT OF THE COURT
30th October, & 19th November, 2024
WAMBALI. J.A.:
This appeal has been preferred by the appellant, Milca Kalondu
Mrema to contest the judgment and decree of the High Court at Arusha in Civil Appeal No. 9 of 2018 which was delivered on 28th February, 2020.

In that appeal, the High Court partly confirmed the decision of the Court of the Resident Magistrate of Arusha at Arusha and partly refrained to determine the dispute on division of matrimonial assets between the ....

SOMA HUKUMU YOTE :
 
Back
Top Bottom