Tangu lini mwanamke akiwa na shoga mwanaume? Atuambie bayana kuwa huyo Gambo ni mchepuko wake! Asitumie tafsida kumfumba LemaKwa lipi? Kwani mtu akisema wewe na Chabruma ni mashoga wa muda mrefu kwa sababu kila usemacho wewe au asemacho yeye lazima mpeane support atakuwa katukana?
Msiwe na mawazo kama ya Wassira wakati ule alipopigana ukumbi wa Habari maelezo alipoambiwa yeye ni shogaake mkubwa na Mrema walipokuwa NCCR. Lakini baada ya kupewa maelezo ya maana sahihi ya shoga alitulia.
Kwa lipi? Kwani mtu akisema wewe na Chabruma ni mashoga wa muda mrefu kwa sababu kila usemacho wewe au asemacho yeye lazima mpeane support atakuwa katukana?
Msiwe na mawazo kama ya Wassira wakati ule alipopigana ukumbi wa Habari maelezo alipoambiwa yeye ni shogaake mkubwa na Mrema walipokuwa NCCR. Lakini baada ya kupewa maelezo ya maana sahihi ya shoga alitulia.
Hili kosa la jinai, anafungika viziri tu, sema nyie wana wa Ufipa mnashabikia mambo pasipo hata kujua kama ni kosa au laAfungwe kwa kumuita mtu shoga?
Badala ya kuhangaika na majangili myafunge mnahangaika na watu kuitwa shoga, ujinga wa kiwango cha lami.Hili kosa la jinai, anafungika viziri tu, sema nyie wana wa Ufipa mnashabikia mambo pasipo hata kujua kama ni kosa au la
Mbona Jenister na Masaju ni marafiki aka mashoga haushangai? Au wewe unadhani urafiki ni uchepukaji tuu? Utakuwa una tabia mbaya wewe!Tangu lini mwanamke akiwa na shoga mwanaume? Atuambie bayana kuwa huyo Gambo ni mchepuko wake! Asitumie tafsida kumfumba Lema
Tafuta tafsiri ya neno SHOGA katika kamusi hayo mengine yakoHili kosa la jinai, anafungika viziri tu, sema nyie wana wa Ufipa mnashabikia mambo pasipo hata kujua kama ni kosa au la
Hilo ndo la kujiuliza. Halafu anasema kuwa wamekuwa wakiwasiliana mara kwa mara. Hivi Lema anajisikiaje kusikia mkewe akisema hayo? Kwa nini hashtuki?
Wanafikiri mahakama itaangalia maana ya mitaani.Tafuta tafsiri ya neno SHOGA katika kamusi hayo mengine yako
Mecky Sadick alikuwa anafaa sana Arusha sasa rais kwa kuendeshwa na mihemuko ya kisiasa ili kuwakomoa wapinzani anapeleka watu waliokataliwa kwenye jamii...this is just STUPID.
..mkuu wa mkoa anashtakiana na wake wa viongozi wenzake?
..Arusha inahitaji mkuu wa mkoa ambaye ni mtu mzima mwenye heshima zake.
Mbona unajishushia hadhi kiasi hiki?Alutta continua! continua!
Alijisalimisha polisi? Sasa mbona kila siku anawalamika kuwa polisi wanatumika wanataka kumuawa.Hakuwapiga alienda kituo cha polisi Makuyuni kwa msaada
una maana itabidi ifanyike physical examination?Wanafikiri mahakama itaangalia maana ya mitaani.
Gambo anajidhalilisha mwenyewe. Kama mahakama ikichukua maana ya mitaani, itambidi Gambo athibitishe yeye siyo shoga kwa maana anayoitaka vinginevyo hakuna kesi pale.
Hebu tupatie tuone alivyowapigaLema bana, kuna uzi humu kuwa jana alitaka kutekwa na majambazi akawapiga.
Ndo angepatikana na hatia kwa uzembe wa kutuma huo ujumbe.Huyo mwanamke bora angesema, nilikosea namba ujumbe ukaenda ambako sio........