Mke wa Mbunge Lema ashtakiwa kwa kumtumia ujumbe Mkuu wa Mkoa wenye neno 'Shoga'

Tangu lini mwanamke akiwa na shoga mwanaume? Atuambie bayana kuwa huyo Gambo ni mchepuko wake! Asitumie tafsida kumfumba Lema
 

Wasira hakuambiwa ni shoga wa Mrema! aliambiwa ni SWAHIBA sasa akawa hajui maana ya swahiba ndio akatembeza mkono
 
Hili kosa la jinai, anafungika viziri tu, sema nyie wana wa Ufipa mnashabikia mambo pasipo hata kujua kama ni kosa au la
Badala ya kuhangaika na majangili myafunge mnahangaika na watu kuitwa shoga, ujinga wa kiwango cha lami.
 
Tangu lini mwanamke akiwa na shoga mwanaume? Atuambie bayana kuwa huyo Gambo ni mchepuko wake! Asitumie tafsida kumfumba Lema
Mbona Jenister na Masaju ni marafiki aka mashoga haushangai? Au wewe unadhani urafiki ni uchepukaji tuu? Utakuwa una tabia mbaya wewe!
 
Hilo ndo la kujiuliza. Halafu anasema kuwa wamekuwa wakiwasiliana mara kwa mara. Hivi Lema anajisikiaje kusikia mkewe akisema hayo? Kwa nini hashtuki?

Mkuu labda mtego ndio upo hapo. Huenda mke wa Lema anaashiria kwamba yupo tayari kutoa ushirikiano ili hayo mawasiliano kati yake na mkuu wa mkoa yawekwe wazi. Swali ni je upande wa mashtaka utakuwa tayari kwa hilo?
 
..this is just STUPID.

..mkuu wa mkoa anashtakiana na wake wa viongozi wenzake?

..Arusha inahitaji mkuu wa mkoa ambaye ni mtu mzima mwenye heshima zake.
 
Tafuta tafsiri ya neno SHOGA katika kamusi hayo mengine yako
Wanafikiri mahakama itaangalia maana ya mitaani.

Gambo anajidhalilisha mwenyewe. Kama mahakama ikichukua maana ya mitaani, itambidi Gambo athibitishe yeye siyo shoga kwa maana anayoitaka vinginevyo hakuna kesi pale.
 
..this is just STUPID.

..mkuu wa mkoa anashtakiana na wake wa viongozi wenzake?

..Arusha inahitaji mkuu wa mkoa ambaye ni mtu mzima mwenye heshima zake.
Mecky Sadick alikuwa anafaa sana Arusha sasa rais kwa kuendeshwa na mihemuko ya kisiasa ili kuwakomoa wapinzani anapeleka watu waliokataliwa kwenye jamii.
 
Wanafikiri mahakama itaangalia maana ya mitaani.

Gambo anajidhalilisha mwenyewe. Kama mahakama ikichukua maana ya mitaani, itambidi Gambo athibitishe yeye siyo shoga kwa maana anayoitaka vinginevyo hakuna kesi pale.
una maana itabidi ifanyike physical examination?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…