Clayton Paul
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 2,137
- 4,413
Kumbe mwatuita Zubedakama Zubeda mke wa Prof J au ?
Kumbe mwatuita Zubedakama Zubeda mke wa Prof J au ?
Naye Kiba akome, watu wakiambiwa waoe wanaofanana nao utamaduni wanaleta ujuaji....wanawake wa Pwani hawajui kutulia kwa mume, kutwa kiguu na njia kwao, Yani mke kwenda kukaa kwao miezi mitatu bila sababu ni kawaidana ukipeleka kesi kwao wanakushangaa
Sasa Amina kashaona mume zipu mbovu, halafu yeye kutwa yupo Mombasa....anataka mwenzake ajiunge Chama la dronedrake au?
Dawa ya mume wa hivo unakaba hadi kivuli, unampa Hadi unampa tena, Yani akienda huko nje akakojoe upepo tu, sheeendhi![]()
Usiwe na kiherehere cha kuingilia ndoa za watu, usije ukashangaa Bi Amina anapost mtoto wa 3, hawatabiriki wale.