Mke VS Mume

NNYAMBALA

Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
85
Reaction score
12
kuna Jamaa ameoa, cku moja waligombana sana kiasi cha kutoongea.Ilipofika ucku walilala, lakini Jogoo wa Jamaa akawa anataka kupanda, shida ikawa atamwambiaje Mkewe, basi Jogoo akawa anapaluapalua, kumbe Mke naye anataka lakini ikawa ni jinsi gani ya kumwambia mumewe. Baadaye Mke uzalendo ukamshinda, akamwambia Mumewe CC ndiyo tumegombana lakini hao wenyewe hawajangomba tuwaache waendelee kucheza.
 
tam kchizi hyo.kuliko hata ile mnayokua mko kwa furaha.
 
ha hahahaaaaaaaaaaa!! hiyo kali
 
hahahahahahaha!!!!!mchezo wa wakubwa hauna mbabe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…