Mke raha jamani

concrete15

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2012
Posts
882
Reaction score
323
Napenda kuwaasa wale ambao hamjaoa muoe muone jinsi maisha ya ndani ya ndoa yalivyo matamu manaishi kama watoto wadogo vile hahahahahah.

Mpaka muda mwingine najikuta nacheka na mapenzi kwa mke wangu ndo kwanza wanaongezeaka daily.

Tunagombana mke ananua kitandani mnabembelezana mambo yanaenda dah!

Unakasirika unaombwa msamaha mambo yanaenda kama kawaida.

Nakanusha ule usemi wa ndoa ndoano.
 
Zipo raha za kua ndani ya ndoa lakini pia usiwashauri tu ambao hawajoa kua waoe eti kwa sababu ndani ya ndoa/ kua na mke ni raha.

Zipo karaha na vitimbi vya ndani ya ndoa ambavyo huwakuta wanandoa wengi zaidi.

Ni vyema kama ungeweka Raha na Karaha zipatikanazo ndani ya ndoa ili huyu unayemshauri ambaye bado hajui ndoa ni nini awe na uhuru mkubwa wa kuamua, je aingie kwenye ndoa au La!
 
Hongera kwa kuwa na ndoa yenye furaha na amani.
 
neno samahani huwa nalipenda sana , yaani nkishaambiwa nisamehe mke/mpenzi/mamawatoto/ mpenzi wangu yaani kama sio danger days naishia kumpa game kama ishara yakudhibitisha nmemsamehe
 
neno samahani huwa nalipenda sana , yaani nkishaambiwa nisamehe mke/mpenzi/mamawatoto/ mpenzi wangu yaani kama sio danger days naishia kumpa game kama ishara yakudhibitisha nmemsamehe

Hahaha! Hii thread imenikumbusha mbali nakumbuka nilikuwa na demu nikiwa nimemkosea huwa nawah kumwomba msamaha ili alikuwa ananizungusha kunikubalia msamaha wangu kumbe mnafurah kuombwa msamaha
 
neno samahani huwa nalipenda sana , yaani nkishaambiwa nisamehe mke/mpenzi/mamawatoto/ mpenzi wangu yaani kama sio danger days naishia kumpa game kama ishara yakudhibitisha nmemsamehe

Mambo mengine ukiyasikia unabaji kutingisha kichwa na kusonya tu na kujiukiza ulikosea vipi hadi kukutana na balaa?

Ila mwisho wa siku, unashukuru kwa yote! Maisha yanaendelea...
 
Kwakwel neno nisamehe litoke kwa m'ume n kibarua kizito.. Ndio hapo minuno inaanzaga !!
 
Mambo mengine ukiyasikia unabaji kutingisha kichwa na kusonya tu na kujiukiza ulikosea vipi hadi kukutana na balaa?

Ila mwisho wa siku, unashukuru kwa yote! Maisha yanaendelea...


kwani vipi boss cjaelewa
 
Hahaha! Hii thread imenikumbusha mbali nakumbuka nilikuwa na demu nikiwa nimemkosea huwa nawah kumwomba msamaha ili alikuwa ananizungusha kunikubalia msamaha wangu kumbe mnafurah kuombwa msamaha


acha kabisa hyo kijineno ina raha sana sometimes hata mtu anakuambia samahan hamaanishi lakini unajikuta umeanza kulegeza mnunoo,

kuna ile mtu anakusogelea hata kama umenunaje anakushika mkono anakutizama kidogo kama dakika moja then akuita jina lako, mke wangu, mpenzi n.k then anasema nisamehe/ naomba unisamehe najutia hili kosa sikustahili kukufanyia hivi najisikia moyo unajuta, tehtehteh akiona unazingua bado anakukumbatia closeeee anaongezea nisamehe please naahidi kujirekebisha aaaahhh weee utaishia tu alafu mi thipeendi unaniuzigi kama nini kwanini ulifanya hivyo niache huko wakati ushajichekesha tehtehteh( siri hyo nmewapa)
 
MWAKA WA SABA HUU WEWE NIMEPATA MKE SIO DUNGAEMBE MORE THAN 7YEARS HIYO KABLA HATUJAOWANA . Na UKIWA NA NEGATIVE MAWAZO LAZIMA YAKUKUTE KWELI

Bado bado.. Katika hatua za Ndoa hapo ndio mpo katika mwisho Wa hatua ya kwanza.. Hatua ambayo mnakua na Mapenzi ya Motoooo.. Hilo Ni tera, Picha Linafata Hatua ya Pili... Utajutaaaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…