Yaani kwanza ni marufuku mke wangu kulala na nguo.
Yes, ni sahihi kuwa na uhuru wa burudani kwenye sex, sipendi aniletee kauzibe au mizengwe yoyote, napenda aniachie mwili wake wote nijivinjari kwa raha zangu kila nipatapo ashki.
Anipe burudani zote nitakazo hitaji hilo ni jukumu lake kama mke wangu.
wewe ukiwa na mkeo 'hakuna mipaka'?
everything is on the menu?
Wanawake wa uswahilini ndiyo wanatamka maneno hayo (eti nitakupa kila kitu) ,kwao wanaamini kitu cha maana cha kumpa mwanamme ili ampende ni K
Wanawake wa uswahilini ndiyo wanatamka maneno hayo (eti nitakupa kila kitu) ,kwao wanaamini kitu cha maana cha kumpa mwanamme ili ampende ni K
Mi ngoja nipite zangu maana ni mke vs mume, na nyumba ndogo, mimi nipo neither of the above!!!! Nikisema chochote tu LAZIMA ITIFAKI itakumbushiwa, ngoja niwe mtazamaji na MBONYEZA LIKES!!!!!!
wanawake wengine husema 'mambo hayo kawafanyie ma.laya zako huko'
umenipata?
wewe unataka waume za watu waridhishwe na wake zao?
au wawe na 'heshima na wake zao'?
lol vingine waende kwa kina lara1?
nice mada The Boss ...
it really differs from couple to couple. inategemea mazoea yenu. zipo couples ambazo mahusiano yao yako kimissionary sana na zingine ambazo mahusiano yao yapo kivegas. from "missionary" to "vegas" tunaweza kuchora graph. in other words couples range in that line. wapo wanawake ambao kuwapa waume zao b**w job ni "kukosewa heshima" so wanaume wanaitafuta hiyo service elsewhere wakati kwa couple zingine wife anaweza toa hiyo service ndani ya gari...so it all depends.
vilevile hutegemea shared exposure na social environment ya couple husika...kwa wengine sex on the beach ni okay...kwa wengine even a peck kwenye kadamnasi ya familia is a big NO.
wengine wanawekeana stripping polls ndani ya master zao ila kwa mazingira yetu I'm not very sure...ila kama watu wana exposure hiyo na wanakubaliana, y not?
kwa wengine marriage has some degree of fun, kwa wengine marriage has less fun more rigidness (sijui niiweke hivyo) so lazima watofautiane....
ambalo mie naliona SIO SAWA hata mtu aniconvince vipi, ni sodomy coz hiyo ni DHAMBI!
huo ndiyo uelewa wangu, i stand to be corrected...
wanawake wengine husema 'mambo hayo kawafanyie ma.laya zako huko'
umenipata?