Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 757
Kuna kibomu nakiona kitaripuka hapa siku za karibuni.
Kitu kinachonitia wasi wasi nikwamba kabla sijaoa nilikuwa na mwanamke flani hivi (japo amenizidi umri kidogo)
Lakini baada ya kuoa nikawa bado namega siku moja moja. Sasa tangu mwaka huu umeanza naona mama watoto amekua karibu na Yule mdada ambaye ni mchepuko wangu. Maana ni majirani
Wamekuqa marafiki kiasi kwamba sasa mke wangu huwa ana mmisi Dada yake na kumtembelea kwake siku moja moja.
Mchepuko yeye anajua ukweli ulivo lakini mke hajui.
Sasa hapa ni mguu pande mguu Sawa... Huyu mke akija akijua MOTO UTAWAKA.
Njia ipi nyepesi ya kuliepuka hili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kinachonitia wasi wasi nikwamba kabla sijaoa nilikuwa na mwanamke flani hivi (japo amenizidi umri kidogo)
Lakini baada ya kuoa nikawa bado namega siku moja moja. Sasa tangu mwaka huu umeanza naona mama watoto amekua karibu na Yule mdada ambaye ni mchepuko wangu. Maana ni majirani
Wamekuqa marafiki kiasi kwamba sasa mke wangu huwa ana mmisi Dada yake na kumtembelea kwake siku moja moja.
Mchepuko yeye anajua ukweli ulivo lakini mke hajui.
Sasa hapa ni mguu pande mguu Sawa... Huyu mke akija akijua MOTO UTAWAKA.
Njia ipi nyepesi ya kuliepuka hili?
Sent using Jamii Forums mobile app