katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,762
Oeni bana... tushachoka kua singo
Mke mwema ni yule anayejua kukata mauno
Mke mwema ni yule anayejua kukata mauno
Ni mwenye Mungu ndani yake mixer upendo wa kweli kwa mume wake
Uwepo wa Mungu ndani yake ndio kutamuepusha na uchepukaji,heshima kwa mume wake na mazaga zaga mengine
Hakuna mapenzi siku hizi ndiyo maana watu wamekata tamaaWajameni tujadili hili kwa maana inaonekana ndoa kwa sasa ni mjukuu au zilipendwa hebu tushauriane shida nini ??
Mbona mmekata tamaa haswa wanaume??
Tatizo nini??
😂😂😂wanatuchosha na haya maswali kila siku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shenzii
Kazi ipoMke mwema ni yule anayejua kukata mauno
Sina uhakikaHawa watu waishi dunia gani
VyoteTunajadili lipi kati ya mke mwema ni yupi au me kukata tamaa