Mke mwema mtarajiwa hapokei simu zangu, kwanini?

Mke mwema mtarajiwa hapokei simu zangu, kwanini?

Seneta Wa Mtwiz

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
3,643
Reaction score
4,182
Wakuu,

Ni jana tu nilikuwa nachat na mke wangu mtarajiwa ambaye ni mwema na ni mtiifu sana, hana tabia ya kunikwaza ovyoovyo, na ikitokea ananiomba msamaha sana. Tulikuwa tunajadili kuhusu mikakati ya mimi kulipa mahari.

Sasa nashangaa baada ya hiyo (conversation) hajanijibu tena wala hapokei simu zangu. Tatizo laweza kuwa nini wakuu?

1479364639931.png
 
hii inafaa ungeipeleka kwenye jukwaa la jokes!!!
 
Hiv ndo wewe unaeanzishaga nyuzi za kishenz shenzy?
 
Yupo anawakonvisi bado atleast sungura wawili...

Anakuonea huruma hela ya pangaboi mbili utatoa wapi?
 
Back
Top Bottom