Nahitaji mwanamke wa maisha umri wangu ni miaka 32 nimejiajiri dini yangu ni mkristo
Nahitaji mwanamke mwenye umri wa miaka 23-26yrs , mwenye kujua nini maana ya familia .
Sichagui dini wala kazi lakini awe mcha Mungu.
Anicheki Pm au robertpaul225@gmail.com
Usioe watoto utajikuta unaenda kulea mke na kukuongezea majukumu ya malezi yani watoto uwalee na mama yao umlee,
Tafuta mwanamke mwenye kukaribia umri wako huyo ndio atakuwa ana elewa nini maana ya familia.