Mke Muislam anatafutwa

Mke Muislam anatafutwa

mshana org

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2012
Posts
2,091
Reaction score
619
Wandugu habari za leo,

Jamani mimi natafuta mwanamke umri kati ya 19-30 awe Muislam awe anajua maana ya maisha awe mpambanaji wa kutafuta maendeleo hata kama bado hajayafikia. Awe tayari kuingia kwenye ndoa baada ya taratibu nyingine kukamilika.

Please aliye serious tuwasiliane pm for more info
 
Unatafuta mke wa kuoa au msichana?? Maana ni vitu viwili tofauti
 
Age yako,ulipo,kabila,unafanya kazi au biasharaa,una watoto wanje au ulishawahi kuoa mwanzo ...

mkuu atakeyekuja atakua anayo nafasi ya kuulixa hata zaidi ya hapo sivema sana kuvieka hapa.ndoa ni zaidi ya vitu hivyo
 
Mmh kzi kweli sku wake wanatafutwa km mtu anataka kununua asset
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom