Mke Muislam anatafutwa

Mke Muislam anatafutwa

Nenda somalia

Huu sio uungwana kabisa,kama huna ushauri,kwanini umkejeli mwenzio?

Wangapi humu ndani wametafuta wake/marafiki wamepata?
Na hawakuambiwa waende Italian/Israel/Facebook na twiter?

Usitende jambo usilopenda kutendewa.
 
Huu sio uungwana kabisa,kama huna ushauri,kwanini umkejeli mwenzio?

Wangapi humu ndani wametafuta wake/marafiki wamepata?
Na hawakuambiwa waende Italian/Israel/Facebook na twiter?

Usitende jambo usilopenda kutendewa.

Povu jiiingi njoo nikufute
 
Wandugu habari za leo,

Jamani mimi natafuta mwanamke umri kati ya 19-30 awe Muislam awe anajua maana ya maisha awe mpambanaji wa kutafuta maendeleo hata kama bado hajayafikia. Awe tayari kuingia kwenye ndoa baada ya taratibu nyingine kukamilika.

Please aliye serious tuwasiliane pm for more info

Baada ya ndoa mtahamia Somalia kutimiliza "sharia" poa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom