FESTO MANDE
New Member
- Feb 24, 2015
- 4
- 1
Habari Wadau,
Kuna jamaa yangu amekuja kunitembelea nikamsuluhishe na mke wake analalamika kuwa mke wake ni mjamzito na amekuwa mwenye fujo lugha mbaya,na hata kumuona hadi atake yeye tofauti na zamani je ujauzito waweza pelekea hio hali?na ni kwa nini? tumsaidie jamani.
Karibuni kwa ushauri
Kuna jamaa yangu amekuja kunitembelea nikamsuluhishe na mke wake analalamika kuwa mke wake ni mjamzito na amekuwa mwenye fujo lugha mbaya,na hata kumuona hadi atake yeye tofauti na zamani je ujauzito waweza pelekea hio hali?na ni kwa nini? tumsaidie jamani.
Karibuni kwa ushauri