Mke mbishi ndani ya nyumba

Nikupe mfano. Hii rangi ni ya sebureni na hii ya nje,anabisha.fundi anapaka kishingo upande.Baadae watu wanakuja wanaanza kusema mbona rangi ya nje mmepaka ndani na ya ndani mmepaka nje.

Inabidi muingie gharama nyingine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee baba endelea kwenda nae hivo hivo ila ikitokea unnecessary cost usilipe hapa arajifunza ila ukiwa wa kulipa imekula kwako. Kama hiyo ya rangi ilitakiwa usiingie cost kwa namna yoyote Ile hadi yeye mwenyewe alipe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee Hayo yameshanikuta...Bado naendelea kufanya mambo kwa ubabe tu..Mana ukimwambia anajifanya mjuaji saaaaana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji847][emoji847][emoji847]hakuwa mbishi mwanzoni,kuna mambo yametokea apo katikati kupelekea io hali(mmezoeana)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama mtu anajua kitu unataka ajifanye hajui au ni mimi ndiyo sijaelewa? Teh basi kazi mnayo mbona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…