Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
kaka mtoa mada (realTz 77)..hili ni suala dogo sanaaaaaa...kama unatumia kitabu cha biblia kwa maana ya kuwa mfuasi wa kristo...naamini ulifunga ndoa ya kikristo na kiapo cha kikristo cha ndoa kinaelezea mambo yoooote kwa umakini...."mutawaacha baba na mama zenu (WAZAZI WENU) na kuambatana pamoja kama MME NA MKKE ...na kwenda kuanza familia yenu".....hapa maandiko yanakuwa wazi kabisa na hapa ndipo ile heshima tulopewa wanaume ya kuwa VICHWA vya familia inapotumika ipasavyo.
sasa huyu mwenzako naomba ukae naye chini na kisha umwambie kuwa KUENDELEA KUWATEGEMEA WAZAZI WAKE wakati wewe kichwa upo kunakunyima haki yako ya ki-dini na kiimani mloitumia kuapa juu ya ndoa yenu...MTAVUMILIANA KWA SHIDA NA RAHA, UGONJWA NA AFYA NJEMA ..MPAKA KIFO KIWATENGANISHE...
mkumbushe kuwa hata kama hamna kitu (mna shida)..ni kifo ndicho kinatakiwa kiwatenganishe...na sio pesa za wazazi wake....NAAMINI kama alilelewa katika maadili ya kumjua MUNGU hata kwa jumapili moja ya kila week atakuelewa na ataelewa nini maana ya kiapo cha ndoa mlichoapa...
kingine cha msingi zaidi ..MKUU MATUMIZI KATIKA FAMILIA LAZMA YAWE CHINI AU BASI SAWA NA MAPATO KATIKA FAMILIA....ikitokea mapato yakawa chini na matumizi juu matokeo yake ndio haya ya WIFE KWENDA KWAO KUOMBA MISAADA...(wengine wanaomba kwa wanaume zao wa nje na hata maboss wao kazini kwa makubaliano ya tendo la ndoa)...jaribu kujadili matumizi na mapato ya familia na mkeo ili mujue haya mapungufu yanatokana na nini...
usiseme mkeo analipwa mshahara mzuri ukadhani umemaliza kazi...mshahara mzuri kiasi gani? na kwa matumizi gani?..ana save kiasi gani?..kwann anakuwa ombaomba.?....check her lifestle...wanawake wengi waajiriwa ndio hao ma-model wa maofisini kila baada ya break wanabadili nguo, viatu mikoba na perfumes, wengine hata hawaumwi macho ila wana-pair 100 za miwani ya macho..fashion-galz, too material, sooo much westernized ...ili mradi mashindano kwa kwenda mbele
NI MAONI TUU WADAU SEMA YENYE MTAZAMO MKALI KIDOGO KUKEMEA UVUNJIKAJI WA MAADILI NDANI YA NDOA
sasa huyu mwenzako naomba ukae naye chini na kisha umwambie kuwa KUENDELEA KUWATEGEMEA WAZAZI WAKE wakati wewe kichwa upo kunakunyima haki yako ya ki-dini na kiimani mloitumia kuapa juu ya ndoa yenu...MTAVUMILIANA KWA SHIDA NA RAHA, UGONJWA NA AFYA NJEMA ..MPAKA KIFO KIWATENGANISHE...
mkumbushe kuwa hata kama hamna kitu (mna shida)..ni kifo ndicho kinatakiwa kiwatenganishe...na sio pesa za wazazi wake....NAAMINI kama alilelewa katika maadili ya kumjua MUNGU hata kwa jumapili moja ya kila week atakuelewa na ataelewa nini maana ya kiapo cha ndoa mlichoapa...
kingine cha msingi zaidi ..MKUU MATUMIZI KATIKA FAMILIA LAZMA YAWE CHINI AU BASI SAWA NA MAPATO KATIKA FAMILIA....ikitokea mapato yakawa chini na matumizi juu matokeo yake ndio haya ya WIFE KWENDA KWAO KUOMBA MISAADA...(wengine wanaomba kwa wanaume zao wa nje na hata maboss wao kazini kwa makubaliano ya tendo la ndoa)...jaribu kujadili matumizi na mapato ya familia na mkeo ili mujue haya mapungufu yanatokana na nini...
usiseme mkeo analipwa mshahara mzuri ukadhani umemaliza kazi...mshahara mzuri kiasi gani? na kwa matumizi gani?..ana save kiasi gani?..kwann anakuwa ombaomba.?....check her lifestle...wanawake wengi waajiriwa ndio hao ma-model wa maofisini kila baada ya break wanabadili nguo, viatu mikoba na perfumes, wengine hata hawaumwi macho ila wana-pair 100 za miwani ya macho..fashion-galz, too material, sooo much westernized ...ili mradi mashindano kwa kwenda mbele
NI MAONI TUU WADAU SEMA YENYE MTAZAMO MKALI KIDOGO KUKEMEA UVUNJIKAJI WA MAADILI NDANI YA NDOA