Mke graduate

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,675
Reaction score
2,115
Mwanaume huu ni ushauri wangu na uzoefu wangu maana niliwahi kuishi na mwanamke mwenye degree tena ya ualimu ni shida.

Kwanza graduates wengi wakati wowote akitokea mtu mwenye pesa nyingi kukuzidi ni rahisi sana kukuacha, wana tamaa sana. Pili wengi wao wametumika sana tena sana. Tatu hawataki uwakosoe na akikosea ukamkemea basi jua hatokubali zaidi ataanza kuleta porojo za kutetea alichofanya.

Nne wanajisikia sana hasa kama akiwa anafanya kaza na yeye anataka awe mwanaume ukimgusa tu atakwambia muachane maana anajua ana uwezo wa kulipa kodi. Tano wana marafk wengi sana wa kiume kuliko wa kike na kujidai kuishi kzungu yaan haoni hatari kula denda na mfanyakazi mwenzie au kukumbatiana au kupigiana na kuandikiana sms za usiku mwema hasa nyakati za usiku.

Sita hawana mapenzi ya kweli, anakuenda ukiwa nazo tu siku zikitoweka ujue ndo mmeachana.

Ushauri: Usikimbilie kuoa mwanamke graduate wakati wapo kibao form 4, na certificate kwani huenda utajipunguzia siku za kuishi kwa mawazo, maana mwanamke graduate omba asipate kazi, akipata ujue na yeye anaota ndevu, humwambii kitu.
 
Hiyo ni hulka yake tu elimu,sura,pesa zio kigezo cha kufanya mwanamke akudharau, wengine ni malezi tu walikosa na kuna wengine ni ulimbukeni wa mapenzi
 
Mi nakubaliana na wewe na wakati mwingine mwanamke wa kumwoa n vizuri ukamzidizi elimu, kipato, cheo na hata umri hapo heshima itakuwepo
 
Ni kweli kabisaaaa! Ili mtu akuheshimu lazima umzidi kitu! Chochote kile, either uzuri wa sura, pesa, elimu, anything ili ukitumie kama fimbo kumchapia na kumrudisha kwenye mstari. Mfano umeoa graduate oa Uglybet hata akikuzidi hela utatumia muonekano kumrudishakwenye mstari japo hela kakuzidi.

Alafu watu wanakurupukaga tu kupima utulivu wa mtu. Mfano watu wanasema Wema Sepetu mala.ya afu wao ndo wametulia! Psheeeeeeeeeew! Wema anatongozwa na wanaume mamia, wazuri, wenye hela zao, maisha ya maana, exposure, daily, akilala na kumi tu mala.ya! Wakati wao wanatongozwa na wanaume 6 kati ya hao 6 kalala na 3 tayari! Tobaaaaaaa!

Na hao sita wnyewe wakuokoteza hawana hata vigezo. Tukiumia ratio analysis nani ma.laya? Je wao wangekuwa wema kwa ratio yao hio ya 50% si ingekuwa balaaa!
 
Anakumbatiana anapigana denda na wafanyakazi wenzie....ulikuwa unaishi na changudoa wewe usituletee generalization zako za kishamba hapa
Ebu mwambie huyo....tatizo vijana wengi wanakariri sana...mimi nishakua na demu mwenye PHD, na heshima ilikua tele tu...sijawai kudate demu asiye kuwa na masters degree....na wote walikua wananipa heshima kibao..elimu yangu mimi ni fom fwo ya ya kufeli. chezea mimi wewe.
 
"kula denda na mfanyakaz mwenzie "

Hahahaha yaani nimeangalia Midomo ya Kakazangu hapa Ofisini , nikapiga picha nalana nao Madenda hehehehe No way sweet siyo rahisi hivyo bwana wewe Demu wako alikuwa Mapepe tu with or without Graduate
 
wanaoolewa ni la saba na form four hao wengine ni pasua kichwa na michepuko
 

Hahahaaa benteke we mubayaaa!
 
Kumbe mnsoa f4 ili muwapige, na mkiwakosea wasiulize eeeh leo ndo nimepata jibu. inferiority complex ni shida sana. duuu.
wewe ia tu ka saba "E"wasahivi zamani walikuwa la saba "C" ukiishi kwakulinganisha tabia na elimu hutakaa uishi na mke hata awe wa UPE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…