Unapochangia tunaomba utaje namba na kipengele chake.
Unazungumzia namba 7 ya kipengele kipi?
Wengine humu hata kuchunbiwa hawajawahi sababu ya tabia zao mbovu kama yai bovu
maneno tu haya....pyeeee mwanaume ndo kaumbwa kupewa raha? hizo raha hata mie nazitaka sana tu
maneno tu haya....pyeeee mwanaume ndo kaumbwa kupewa raha? hizo raha hata mie nazitaka sana tu
yote hayo ni kweli ila hujaweka na wao waume watufanyie nini au ni wao tu wakufanyiwa//?
kumbe ulikuwaa unazihitaji na wewe? Usijali mke wangu nimekuelewa na nitatekeleza