Mke apotea katika mazingira ya kutatanisha

Mke apotea katika mazingira ya kutatanisha

cheeter

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2011
Posts
475
Reaction score
155
Hivi karibuni kumekua na wimbi la watekaji, nina rafiki yangu alipotelewa na mke akafanya juhudi zote za kumtafuta.

Siku ya kwanza alimpigia simu yake ikawa inaita tu bila mfanikio.

Siku ya pili ilimbidi aende kwa mama mkwe kutoa taarifa hiyo cha ajabu hawakua na taarifa yoyote ukweni.

Siku ya tatu alirudi tena ukweni ile anaongea na mama mkwe kwa mbali anamwona mke wake anarejea kwao.

Hapo hapo mama mkwe naye akamweleza ndiyo kama anavyoona anarejea hivyo. Ingekua ni wewe ungefanyaje?

Jamaa aliondoka kwa hasira kutafuta panga.
 
Huyo MKE kama alitekwa kwanini alivyoachiwa asirudi moja Kwa moja kwa mumewe aende kwako kwanza,alikuwa na mechi kiwanja cha ugenini
 
Hahahaaa. Panga halitasaidia hapo cha muhimu akae chini na mkewe amuulize kwa utaratibu ajue yaliyomkuta.

Japokuwa ukiwaza kwa haraka haraka lazima huyo mke anajua atokako ndio sababu kapata akili ya kurudi kwao na sio kwa mume wake.
 
Huyo MKE kama alitekwa kwanini alivyoachiwa asirudi moja Kwa moja kwa mumewe aende kwako kwanza,alikuwa na mechi kiwanja cha ugenini
Hahahaaa. Sio kwa kujikuta tumewaza sawa kiasi hiki Mkuu. Duuh.

Huyo lazima anajua atokako.
 
Hahahaaa. Panga halitasaidia hapo cha muhimu akae chini na mkewe amuulize kwa utaratibu ajue yaliyomkuta.

Japokuwa ukiwaza kwa haraka haraka lazima huyo mke anajua atokako ndio sababu kapata akili ya kurudi kwao na sio kwa mume wake.
Labda alishaamua kuachika Sasa alikuwa anatafutia sababu,huwezi kupata kanga halafu uokoke usiludi Kwa Mume uanze kwenu,utasbabisha na mkwe aonekane anajua ulikotoka
 
Labda alishaamua kuachika Sasa alikuwa anatafutia sababu,huwezi kupata kanga halafu uokoke usiludi Kwa Mume uanze kwenu,utasbabisha na mkwe aonekane anajua ulikotoka
Kweli kabisa Mkuu sababu haiingii akilini aiseee.

Yaani anarudi kwa miguu yake kabisaa. Lol.
 
mng'oe meno huyo ili kumpunguzia muonekano
 
Alitekwa huyo ila watekaji walimtupa kwenye pori karibu na nyumbani kwao . naturally lazima break ya kwanza iwe kwao
 
Back
Top Bottom