Mke anahitajika

gwego1

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2023
Posts
281
Reaction score
1,012
Wakuu Salaam.

Baada ya kuanzisha Uzi wa kutafta mwanamke ambaye anaweza kupga jembe(kulima) nimekosa hata mmoja wa kuja PM.

Sasa imenibdi nibadlishe vigezo sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Akiwa mkoa wa Geita au karibu na hapo itakuwa poa sana.

Natanguliza shukrani za dhati.

Wako Mtiifu,

Gwego.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Tuko mwaka 2023 afu karne nyingine,nani atakubal kushika jembe wakat matrekta yapo.Afu unataka mke au mkulima?
 
khe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…