G gwego1 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2023 Posts 281 Reaction score 1,012 Aug 29, 2023 #1 Wakuu Salaam. Baada ya kuanzisha Uzi wa kutafta mwanamke ambaye anaweza kupga jembe(kulima) nimekosa hata mmoja wa kuja PM. Sasa imenibdi nibadlishe vigezo sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Akiwa mkoa wa Geita au karibu na hapo itakuwa poa sana. Natanguliza shukrani za dhati. Wako Mtiifu, Gwego.
Wakuu Salaam. Baada ya kuanzisha Uzi wa kutafta mwanamke ambaye anaweza kupga jembe(kulima) nimekosa hata mmoja wa kuja PM. Sasa imenibdi nibadlishe vigezo sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Akiwa mkoa wa Geita au karibu na hapo itakuwa poa sana. Natanguliza shukrani za dhati. Wako Mtiifu, Gwego.
Shetta JF-Expert Member Joined Mar 15, 2023 Posts 445 Reaction score 798 Aug 29, 2023 #2 Njoja waje wakupe muongozo
G gwego1 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2023 Posts 281 Reaction score 1,012 Aug 29, 2023 Thread starter #3 Shetta said: Njoja waje wakupe muongozo Click to expand... Waje mkuu
Bueno JF-Expert Member Joined Aug 16, 2022 Posts 34,610 Reaction score 59,577 Aug 29, 2023 #4 gwego1 said: sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Click to expand... Kiruuu sasa anaepumua tu hata km akiwa kwenye wheelchair yeye mradi awe anapumua tu
gwego1 said: sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Click to expand... Kiruuu sasa anaepumua tu hata km akiwa kwenye wheelchair yeye mradi awe anapumua tu
G gwego1 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2023 Posts 281 Reaction score 1,012 Aug 29, 2023 Thread starter #5 stow away said: Kiruuu sasa anaepumua tu hata km akiwa kwenye wheelchair yeye mradi awe anapumua tu Click to expand... Ndio mkuu
stow away said: Kiruuu sasa anaepumua tu hata km akiwa kwenye wheelchair yeye mradi awe anapumua tu Click to expand... Ndio mkuu
Bueno JF-Expert Member Joined Aug 16, 2022 Posts 34,610 Reaction score 59,577 Aug 29, 2023 #6 gwego1 said: Ndio mkuu Click to expand... Sawa wanakuja utampata
financial services JF-Expert Member Joined May 17, 2017 Posts 18,139 Reaction score 43,360 Aug 29, 2023 #7 Tunaopumua tupo, Je jembe tutapiga? Maana ndiyo kilikua kikwazo cha kuja pm mkuuπ
G gwego1 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2023 Posts 281 Reaction score 1,012 Aug 30, 2023 Thread starter #8 financial services said: Tunaopumua tupo, Je jembe tutapiga? Maana ndiyo kilikua kikwazo cha kuja pm mkuuπ Click to expand... Jembe nitaendelea kupiga mwenyewe nimeona hicho kigezo kitanikosesha mke
financial services said: Tunaopumua tupo, Je jembe tutapiga? Maana ndiyo kilikua kikwazo cha kuja pm mkuuπ Click to expand... Jembe nitaendelea kupiga mwenyewe nimeona hicho kigezo kitanikosesha mke
Braza Kede JF-Expert Member Joined Nov 1, 2012 Posts 5,165 Reaction score 8,959 Aug 30, 2023 #9 financial services said: Tunaopumua tupo, Je jembe tutapiga? Maana ndiyo kilikua kikwazo cha kuja pm mkuuπ Click to expand... kamata mmoja uyu hapa uende nae. uzi ufungwe.
financial services said: Tunaopumua tupo, Je jembe tutapiga? Maana ndiyo kilikua kikwazo cha kuja pm mkuuπ Click to expand... kamata mmoja uyu hapa uende nae. uzi ufungwe.
Uwa zuri Senior Member Joined Feb 24, 2023 Posts 106 Reaction score 178 Aug 30, 2023 #10 gwego1 said: Wakuu Salaam. Baada ya kuanzisha Uzi wa kutafta mwanamke ambaye anaweza kupga jembe(kulima) nimekosa hata mmoja wa kuja PM. Sasa imenibdi nibadlishe vigezo sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Akiwa mkoa wa Geita au karibu na hapo itakuwa poa sana. Natanguliza shukrani za dhati. Wako Mtiifu, Gwego. Click to expand... ππππππ Tuko mwaka 2023 afu karne nyingine,nani atakubal kushika jembe wakat matrekta yapo.Afu unataka mke au mkulima?
gwego1 said: Wakuu Salaam. Baada ya kuanzisha Uzi wa kutafta mwanamke ambaye anaweza kupga jembe(kulima) nimekosa hata mmoja wa kuja PM. Sasa imenibdi nibadlishe vigezo sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Akiwa mkoa wa Geita au karibu na hapo itakuwa poa sana. Natanguliza shukrani za dhati. Wako Mtiifu, Gwego. Click to expand... ππππππ Tuko mwaka 2023 afu karne nyingine,nani atakubal kushika jembe wakat matrekta yapo.Afu unataka mke au mkulima?
YE67NBE JF-Expert Member Joined Nov 30, 2015 Posts 15,154 Reaction score 36,361 Aug 30, 2023 #11 Hapo unataka vitu viwili kwa wakati mmoja!!! Wa kwenda kumgeuza trekta humu JF hayupo labda uko usukumani nenda
Hapo unataka vitu viwili kwa wakati mmoja!!! Wa kwenda kumgeuza trekta humu JF hayupo labda uko usukumani nenda
Dada D Member Joined Sep 30, 2019 Posts 66 Reaction score 62 Aug 31, 2023 #12 Cute Wife said: Hapo unataka vitu viwili kwa wakati mmoja!!! Wa kwenda kumgeuza trekta humu JF hayupo labda uko usukumani nenda Click to expand...
Cute Wife said: Hapo unataka vitu viwili kwa wakati mmoja!!! Wa kwenda kumgeuza trekta humu JF hayupo labda uko usukumani nenda Click to expand...
G gwego1 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2023 Posts 281 Reaction score 1,012 Aug 31, 2023 Thread starter #13 Cute Wife said: Hapo unataka vitu viwili kwa wakati mmoja!!! Wa kwenda kumgeuza trekta humu JF hayupo labda uko usukumani nenda Click to expand... Hiki kigezo nishakitoa kwenye list mkuu.
Cute Wife said: Hapo unataka vitu viwili kwa wakati mmoja!!! Wa kwenda kumgeuza trekta humu JF hayupo labda uko usukumani nenda Click to expand... Hiki kigezo nishakitoa kwenye list mkuu.
YE67NBE JF-Expert Member Joined Nov 30, 2015 Posts 15,154 Reaction score 36,361 Sep 1, 2023 #14 gwego1 said: Hiki kigezo nishakitoa kwenye list mkuu. Click to expand... Haya weka vigezo vya kueleweka tuone km nitafit ndugu zangu wale ubwabwa
gwego1 said: Hiki kigezo nishakitoa kwenye list mkuu. Click to expand... Haya weka vigezo vya kueleweka tuone km nitafit ndugu zangu wale ubwabwa
B bashe95 Member Joined Jun 13, 2021 Posts 94 Reaction score 108 Sep 2, 2023 #15 gwego1 said: Wakuu Salaam. Baada ya kuanzisha Uzi wa kutafta mwanamke ambaye anaweza kupga jembe(kulima) nimekosa hata mmoja wa kuja PM. Sasa imenibdi nibadlishe vigezo sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Akiwa mkoa wa Geita au karibu na hapo itakuwa poa sana. Natanguliza shukrani za dhati. Wako Mtiifu, Gwego. Click to expand... khe
gwego1 said: Wakuu Salaam. Baada ya kuanzisha Uzi wa kutafta mwanamke ambaye anaweza kupga jembe(kulima) nimekosa hata mmoja wa kuja PM. Sasa imenibdi nibadlishe vigezo sahivi natafta mwanamke yoyote anayepumua tu! Akiwa mkoa wa Geita au karibu na hapo itakuwa poa sana. Natanguliza shukrani za dhati. Wako Mtiifu, Gwego. Click to expand... khe