UVIKO
JF-Expert Member
- Jun 14, 2021
- 294
- 362
Sifa Zangu 1.Ni mzawa halisi wa kanda ya ziwa Ila Kwa Sasa sikai huko 2.Nina miaka 29 3.sina wazazi wote 2. 4.mm Ni mrefu na ni mwili mkubwa kawaida Ila mm siyo mwemba. 5.nina Mtoto mmoja WA kike ana miaka 2 6.Dini yangu ni mkiristo
SIFA ZA MKE NINAEMHITAJI.
1.Awe mcha Mungu 2.awe na Umbo la kawaida asiwe mrefu wala mfupi wala mnene 3.Swala la sex mpaka hatua zote za ndoa zikamilike. MENGINEO TUTAFAMISHANA PM.unakari ishwa kuuliza swali lolote kabla haujaja pm Ila kama swali linajibika hadharani hapa nitakujibu kama halijibiki nikujibu pm kalibuni ,
SIFA ZA MKE NINAEMHITAJI.
1.Awe mcha Mungu 2.awe na Umbo la kawaida asiwe mrefu wala mfupi wala mnene 3.Swala la sex mpaka hatua zote za ndoa zikamilike. MENGINEO TUTAFAMISHANA PM.unakari ishwa kuuliza swali lolote kabla haujaja pm Ila kama swali linajibika hadharani hapa nitakujibu kama halijibiki nikujibu pm kalibuni ,