... Mmmm! Wasiwasi wangu ni mbele ya safari...
...fetching data.....
Jaman leo ni mara yangu ya kwanza kujitokeza hapa jukwaani, jaman naomba kuuliza hivi kuna ubaya/uzuri gan kwa msichana kumzid mvulana wake umri. Imentokea nina umri wa miaka 22 na girlfriend wangu ana 24, cha msingi tunapendana nae sana na kuheshimiana kila m1 wetu. Hatujawah kukutana kimwili toka kpnd chote cha uchumba wetu (1yr sasa) naomba mchango wenu kwa hili jamani.
heeeeee huu nao ni ushauri?kamata piga papuchi dogo usilembe kwani hujui age is just a number..
... Mmmm! Wasiwasi wangu ni mbele ya safari...
...fetching data.....
If you're compatible and you love each other, don't worry about 2 little years....! We muoe tu!!!!! Kwani age si ma namba namba tu, yasikuogopeshe!!!!!!!
Jaman leo ni mara yangu ya kwanza kujitokeza hapa jukwaani, jaman naomba kuuliza hivi kuna ubaya/uzuri gan kwa msichana kumzid mvulana wake umri. Imentokea nina umri wa miaka 22 na girlfriend wangu ana 24, cha msingi tunapendana nae sana na kuheshimiana kila m1 wetu. Hatujawah kukutana kimwili toka kpnd chote cha uchumba wetu (1yr sasa) naomba mchango wenu kwa hili jamani.
Gf and BF with 22 and 24 years? Tunashauri wake na waume zao acheni ujinga someni!
Whoever lied to you age is just a number shemeji kipenzi!??
Kiukweli haka kamsemo kanawafariji sana watu. Lakini, boy, ukiwa na miaka 22 kwa hesabu za haraka kijana anapaswa kuwa masomoni na binti wa 24 years angekuwa anachumbiwa na kijana wa miaka 27+
Kiukweli haka kamsemo kanawafariji sana watu. Lakini, boy, ukiwa na miaka 22 kwa hesabu za haraka kijana anapaswa kuwa masomoni na binti wa 24 years angekuwa anachumbiwa na kijana wa miaka 27+
Mfumo wa 7-4-2-3 sio kila mtu aliefanikiwa anaufuata bro
Senkyu baba...halafu nakutafuta!!!