70×4×12=3,360,000
Gharama ya pikipiki kwa sasa pamoja na usajili 2,300,000- 3,360,000=1,060,000
Kwamba faida nitapata 1,060,000 na hiyo hiyo uharibike ukamatwe nk nk
Kweli yataka moyo...
Mi ninakupa ulete malengo ila sio mkataba labda ulete Laki kwa wiki