Zombieboss
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 727
- 742
Wajuvi wa mambo tupeni msaada,nimesikia jambo chini chini kuwa KIA hatunayo, na mkataba wa DP world unasema kuwa watamiliki pia eneo la Anga
Hii imekaaje wakuu
Hii imekaaje wakuu
Hili halishindikani mkuu:Wajuvi wa mambo tupeni msaada,nimesikia jambo chini chini kuwa KIA hatunayo, na mkataba wa DP world unasema kuwa watamiliki pia eneo la Anga
Hii imekaaje wakuuView attachment 2665709
Haja ya ukoloni kubaki Baki ilikuwepoHili halishindikani mkuu:
1. Sgr kwaheri
2. Mwendokasi kwaheri
3. Mbuga zetu kwaheri.
Nadhani tutumie muda huu kuagana na rasili mali zetu
Yanayofuata kwenye hii nchi ni makubwa sana,CCM hawashindwi kitu.
TUkubali kuingia hasara lakini uvunjwe tuTufuateni ushauri wa huyu jamaa...japo ukimsikiliza Tundu Lissu vizuri mkataba wa hawa jamaa hauna jinsi ya kuuvunja wala kujitoa. Tunalo haki ya nani 😁😁😁
View attachment 2665720
Itakua jambo la heri sana,kuliko kuingia makunaliano yasiyokwisha, lakini mwanasheria mkuu TUNATEGEMEA azungumze (atoe tafsiri ya mkataba pengine tumeelewa vibaya)TUkubali kuingia hasara lakini uvunjwe tu
Tumeukosa msimamo wa huyu MwambaTufuateni ushauri wa huyu jamaa...japo ukimsikiliza Tundu Lissu vizuri mkataba wa hawa jamaa hauna jinsi ya kuuvunja wala kujitoa. Tunalo haki ya nani
View attachment 2665720
Hapa tuwasikilize wataalamu wa majanga mimi najua kuhusu murphy's lawsWajuvi wa mambo tupeni msaada,nimesikia jambo chini chini kuwa KIA hatunayo, na mkataba wa DP world unasema kuwa watamiliki pia eneo la Anga
Hii imekaaje wakuuView attachment 2665709
Na sasa tunamkumbukaMwamba mmoja alikwisha kusema 'Mtanikumbuka kwa mazuri'.
Mkataba hauvunjiki mkuu!TUkubali kuingia hasara lakini uvunjwe tu
Mkuu Kila mtu katika hii nchi Yuko juu ya katibaMliitwa muandamane mkagoma
Lakini ndiyo huyo aliyekusanya ule upupu kwenye jengo la bungeMwamba mmoja alikwisha kusema 'Mtanikumbuka kwa mazuri'.