Mkasa wangu

Mkasa wangu

mabwiku

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
447
Reaction score
392
Nawaheshimu sana,nawapenda sana,acha niendelee then ntamalizia icho kituko mwisho,make watu mmekua na hasira sana utazan bando mnaniwekea nyinyi,ntakua napost kidogo kidogo kwan napoangalia divc yangu kwa muda macho yangu yanauma ivyo kuen wavumilivu.....................

Niliamua kumwambia kua namchumba ili asirudie kunambia upuuzi ule tena,akaanza kulia upya na kuomba sana msamaha kwa kosa lile la kunipiga kibao,alianza kulia kwa sauti pale nikaona tutajaza watu pale for nothing ivo ikabidi nimtulize kwa kumlaghai ili tutoke pale twende tukamalizie home,
Basi tukaondoka na kwenda nyumbani,nakumbuka ilikua mida kama ya saa 6 iv usiku ndipo tulifika home,nikamgongea mshikaji wangu akaja kutufungulia,nilikua nimechoka sana ivo nikategea yeye aende kuoga ili aje kulala na akisinzia tu na mimi niende kuoga,na lengo langu kwa muda ule nilitaka kuzuga kwenye lile kochi la chumban ili muda uende alale nami nilale pale kwenye kochi la chumbani,kule out nilimwaidi kua nimemsameh na tutakua sawa,kaenda kuoga alipotoka akaja akanambia,bby wangu nimekumis sana bby wangu,njo basi tutafute mtoto kidogo tu,nikamwambia subiri kuna kazi ya ofcn apa nikimaliza ntakuja nikupe,akakubali kwa shingo upande akapanda kitandani akalala,lkn kumbe nazan alishtukia janja yangu make nilikua kama naibia kumwangalia kama kalala ama bado ili nikaoge,nilipo jilizisha kua kalala nami nikaamka nikaenda kuoga,ile narudi na taulo langu sikua nakitu chochote ivyo nikatoa ili nichukue trouser yangu ya kulalia,
Sijui ilkuaje bhana make nilishangaa tu navamiwa mzima mzima napewa denda matata uku kanikumbatia kwa kunibana mbavu ikabidi niwe mpole nisitumie nguvu,kilichoendelea siri yangu....

Alikua na tatizo moja ambalo lilinipa tabu sana b4 bt baadae nilikuja kupata suluhisho lake,alikua ni mwanamke anaependa romance sana na lazima akojoe kimoja ktkt ya romance then ndo game linaanza,hapo sasa atakua mgumu sana kumaliza kama alikojoa kwenye romance,lkn nilikuja kujua dawa yake ivyo ikawa kazi ndogo sana kwangu,,ukiwa na pumzi chache lazima uchemke metch.
Ilo pia lilichangia anipende sana make nilikua nakza buti kinoma,
Baada ya mchezo alinishukuru sana kwani akadai muda sasa hajapata penzi tamu na la nguvu kubwa kama ili,akaniomba niwe wake pekeee na huyo ambae nipo nae nimwache tu make hakuna namna,

Asubui tuliamka mimi nikaenda kazini,yeye nilimwacha anaosha vyombo na keshafanya usafi,kwa jinsi alivyokua b4 nilibaki namaswali kumkichwa sana,hakua mtu wa kuamka mapema vile nilipokua kwake,
Baada ya kumaliza kazi zangu nilirudii home kuendeleza majukumu
Yangu,apo ndo kituko kikaanza cha kwanza .
 
inakata moto au unataka kupima upepo wa respobd zetu mkuu...haya mm binafsi nakungojea
 
aiss hebu acha utani!!kwani hiyo simu hadi iwe na chaji hauwezi kuilazimisha tu hivyo hivyo!
 
Dah, mkuu huu uzi mtamu sana

Nasubiri hio simu ijae moto uendelee aiseeee
 
aiss hebu acha utani!!kwani hiyo simu hadi iwe na chaji hauwezi kuilazimisha tu hivyo hivyo!
Ha ha ha jamaa katoa stori tamu halafu anaikatia njiani aiseee

Watu wana roho ngumu sana aiseeee, huu ni unyanyasaji wa kisaikolojia
 
kumbe wewe ni mwanamume na ulikuwa unalelewa na mwanaChuo mwenzako wa kike
Mwanamume unapikishwa
mwanamume unafulishwa kwanini mwaamume USIBAMIZIWE?
 
kumbe wewe ni mwanamume na ulikuwa unalelewa na mwanaChuo mwenzako wa kike
Mwanamume unapikishwa
mwanamume unafulishwa kwanini mwaamume USIBAMIZIWE?

kwani ukisupply kila kitu ndo hutombewi, huyo mzee wa PPI mwenyewe anagongewa
 
endelea bwashehe utaishiaje story tamu njia chapa vibao
 
Back
Top Bottom