#COVID19 Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19

UPDATE: WEDNESDAY 28TH DECEMBER 2022
KILICHOPELEKEA MHUSIKA KUYAONGELEA TENA MASWALA YA NDUGU ZAKE WAWILI WALIOWAHI KUPOTEZA MAISHA MWAKA 2021 NA 2022


NI BAADA YA KUONA DALILI NYINGINE TENA ZINAZOONYESHA UWEZEKANO WA MTU AU WATU WENGINE TENA KUKUMBWA NA MATUKIO YANAYOFANANA NA HAYO YALIYOWAHI KUWAKUMBA HAWA WAWILI WALIOTAJWA HUMU HUKU PRINCIPAL ENGINEER WA MATUKIO AKIONEKANA KUWA NI MTU YULE YULE MMOJA, MREFU KULIKO WOTE KWENYE UKOO.
VINGINEVYO MHUSIKA HAKUWA NA SABABU YOYOTE YA MSINGI YA KUONGELEA MAMBO YA NDANI KIASI HICHO, AMELAZIMIKA
 
KANISA A

KUHUSIANA NA SHUKRANI ZILIZOTOLEWA NA MUUMINI AKIWASHUKURU WATEJA WA KOROSHO ZAKE


Shukrani hizo lilikuwa ni shambulizi kali la kiroho kwa bidhaa zote zinazouzwa madukani au sokoni

Kwa bahati nzuri au mbaya, baada ya kuwa ametoka Kanisani J2 hiyo, mhusika alipitia dukani kununua baadhi ya mahitaji ya bidhaa alizokuwa amepungukiwa nyumbani

  • Duka alilokwenda kununua bidhaa ni duka ambalo huwa ananunua bidhaa siku zote, miaka yote
  • Tofauti na siku zingine zote, bidhaa alizonunua siku hiyo zilimletea shida kubwa nyumbani usiku
Ilikuwa almanusura wasingizie waliomuuzia bidhaa hizo, lakini hatimaye Roho Mtakatifu aliongea akasema tatizo lilikuwa ni ile statement iliyokuwa imetolewa kanisani ya muumini aliyekuwa akiwashukuru wateja wake wa korosho

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE:THURSDAY 29TH DECEMBER 2022

KANISA A


KUHUSIANA NA VYOMBO VILIVYOGOMA KUPIGA NA HIVYO KUPELEKEA KWAYA ILIYOKUWA IMEPAMDA MADHABAHUNI KUSHUKA CHINI BILA KUIMBA


Ulikuwa ni utaratibu mwingine tu wa kutengeneza mazingira ya USIKIVU MPYA kwenye MASIKIO ya waumini, ambao ulikuwa haujawahi kusikika masikioni mwao wakiwa ndani ya mazingira ya Kanisani, kwa kipindi kirefu nyuma

Utaratibu huu unaturudisha kwenye kumbukumbu za Ibada ya J2 ile ambayo muumini ambaye alikuwa ana tatizo la USIKIVU, alikaribishwa juu madhabahuni wakati wa mafundisho na kutoa ushuhuda wa namna ambavyo alipokea uponyaji na hatimaye kuanza kusikia tena

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: FRIDAY 30TH DECEMBER 2022

KWA WAUMINI WA KANISA A

MNAOMBWA KUWAKABIDHI KWENYE MADHABAHU YA DAMU YA YESU PIA, WATU WOTE AU MAKUNDI YA WATU WOTE AMBAO HUWA WANAPATA NAFASI YA KUSIMAMA MBELE MADHABAHUNI KWA AJILI YA KUTOA USHUHUDA, JUST TO BE ON THE SAFE SIDE

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
KUHUSIANA NA MTT1990, MTOTO ALIYEZALIWA MARCH 1990 NA ALIYETUMIA MUDA WAKE MWINGI SANA WA MAISHA YAKE AKIKAA JELA

UTAFITI WA KIROHO KUTOKA KWA MHUSIKA KUHUSIANA NA MTOTO HUYU


Mimba ya mtoto huyu ilitungwa kwa makusudi maalum na ilitakiwa iishie kama mimba tu na hivyo kilichokuja kutokea MTT1990 akazaliwa mwaka 1990 ilikuwa ni nje ya matarajio ya planners. MTT1990 Alitakiwa aishie tu kwenye stage ile ya mimba huku akiwa ame-execute mambo kadhaa muhimu, huku walengwa wa mambo wakiwa ni mhusika na baba yake (mhusika) mzazi

Kwa bahati nzuri (mbaya kwa planners), kwa matakwa yake mwenyewe, MTT1990 mwenyewe aliweza kulazimisha hadi akafikia stage ya kuzaliwa na hivyo kuendelea kuishi hadi leo yupo akiwa ana mke na watoto wawili

PLAN YA AWALI ILIVYOKUWA KUHUSIANA NA MTT1900 KABLA HAJAZALIWA; KILE KILICHOPELEKEA MIMBA YA MTT1990 KUTUNGWA


Akiwa bado yupo tumboni mwa mama yake kabla hajazaliwa, akiwa bado yupo kwenye stage hiyo ya mimba tu, MTT1900 alitakiwa awaondoe duniani mhusika pamoja na baba mzazi wa mhusika

NAMNA PLAN HII ILIVYOKUWA IMESUKWA


Ni kwamba mhusika alikuwa anatarajiwa kuwepo mazingira ya nyumbani kuanzia Desemba 1989 hadi mwanzoni mwa Julai 1990 kwa sababu kwenye mwaka huo wa 1989, mhusika alikuwa anatarajia kuhitimu masomo yake ya kidato cha nne

Vile vile, mwenye mimba naye pia alikuwa anatarajia kuhitimu masono kwenye mwaka huo huo wa 1989 na hivyo mimba hiyo ilikuwa imetungwa KWA MAKUSUDI tangu mwezi June 1989, huku mwenye mimba akiwa hajamaliza masomo ya kidato cha nne. Hadi kufikia Novemba 1989 mwenye mimba anahitimu masomo yake ya kidato cha nne, mimba hiyo ilikuwa tayari ina miezi isiyopungua mitano (5)

TIMING ILIYOKUWEPO KWENYE UTUNGWAJI WA MIMBA HIYO

Mimba hiyo ilitungwa huku ikiwa na timing ya baadhi ya mambo kadhaa muhimu na ya lazima kama yafuatayo

  • Kwa kutungwa kwake mwezi June 1989 huku mwenye mimba akiwa mwaka wa mwisho wa masomo ya kidato cha nne, assuming MIMBA HIYO ITALAZIMISHA KUZALIWA, mtoto huyo atazaliwa si baada ya mwezi March 1989
  • Kama mtoto atazaliwa mwezi March 1989, na assuming mama yake atachanguliwa kuendelea tena na masomo ya kidato cha tano, by Julai 1990 mtoto huyo atakuwa tayari ana angalau miezi mitatu na hivyo mtoto anaweza kuachwa nyumbani akaendelea kunyonya maziwa ya ng’ombe, na hivyo mama yake kuweza kuendelea tena na masomo yake ya kidato cha tano, na hicho ndicho kweli kilikuja kutokea
  • Mbali na hayo, timing nyingine muhimu ilikuwa ni kwamba ilikuwa ni lazima mhusika aweze kuwa karibu na mazingira ya kuanzia stage ya mimba (katika kipindi chake chote atakachokuwepo kwenye mazingira ya nyumbani akisubiria matokeo ya kidato cha nne) na possibly, hadi ile ya kuzaliwa mtoto, assuming mimba hiyo italazimisha mtoto kuzaliwa.
  • Hii ni kutokana na ukweli kwamba kwenye kipindi hicho cha kusubiria matokeo ya kidato cha nne, kilikuwa ndiyo kipindi pekee kirefu cha mwisho ambacho mhusika na dada yake wangekuwepo kwa pamoja kwenye mazingira ya nyumbani, assuming huko mbele ya safari wataendelea na masomo na hatimaye kupata ajira baada ya kuhitimu masomo yao.
Na kweli hiki ndicho kilitokea. Kilikuwa ni kipindi kirefu cha mwisho kwa mhusika na dada yake wote wawili kuwepo kwenye mazingira ya nyumbani kwa pamoja

Kwa hiyo, timing ya mimba ya MTT1990 ilifanyika kwa kuzingatia baadhi ya mambo haya muhimu yakiwa yameambtana pia na PLAN B, just in case kilichokuwa kinatarjiwa kutoka kwenye mimba hiyo kisingeweza kutokea kama kilivykuwa kimetarajiwa. Mojawapo ya mambo yaliyokuja kufanyika baadaye kwenye PLAN B ni kama lile la MTT1990 kuhamia Dar es salaam mwaka 2005. Si hilo tu, bali yapo na mengine kadhaa ambayo mhusika atakuja kuyaongelea hapo baadaye kwenye maelezo yanayofuata

KILICHOTOKEA BAADA YA MTT1990 KUZALIWA MNAMO MARCH 1990

Baada ya MTT1990 kuzaliwa, baba mzazi wa mhusika (babu wa MTT1990) alipoteza maisha miezi sita mbele; baada ya kuugua ghafla kwa mara ya kwanza na kwa kipindi cha miezi kadhaa tu

  • Kawaida, baba yake na mhusika alikuwa haugui, ilikuwa ni mara ya kwanza kwake kuugua na alipougua tu, alipoteza maisha
  • Mhusika yeye aliendelea kuwepo na hivyo yeye kuendelea kushughulikiwa kwa kutumia PLAN B
Mojawapo ya mpango kwenye plan hiyo ilikuwa ni MTT1990 mwenyewe (aliyelazimisha kuzaliwa) kuendelea kutumika kwa kumshambulia mhusika kupitia kwenye ulimwengu wa roho. Mpango huu ulipendelewa sana kwa sababu ulionekana kwa kiasi kikubwa sana, ungekuwa FOOL PROOF kiasi kwamba isingekuwa rahisi kwa mhusika kuweza kugundua

Na kweli mpango huo ulikuwa FOOL PROOF KWA KIASI KIKUBWA SANA; na ndiyo maana kwenye kipindi cha miaka ya hivi karibuni baada ya mhusika kuwa ameyafahamu haya anayoyaandika humu muda huu, AMELAZIMIKA KUPOTEZA NDUGU ZAKE WAWILI WAKIDHANIWA KUWA NDIYO WALIOKUWA WAKIMPENYEZEA TAARIFA HIZI, WAKATI SIYO

Kile ambacho mhusika ameshakiona hadi muda huu kuhusiana na namna execution ya mpango huu ilivyokuwa imewekwa ni kwamba baada ya MTT1990 kuwa amefikia stage ya kuwa amepata akili, zailichukuliwa hatua za kumjulisha fika kabisa kuwa kama hataweza kufanikisha swala la kumshambulia mjomba wake, basi zamu ya kile kilichokuwa kinatakiwa kumpata mjomba wake, kitampata yeye. Kwa hiyo hadi anahamia Dar es salaam mwaka 2005, MTT1990 alikuwa analijua hilo na hivyo ajapokuwa pengine alikuwa anafanya kazi hiyo pasipo kupenda, basi alikuwa anafanya hivyo wa niaba ya kuuponya uhai wake

Kwa hiyo, by Desemba 2004, MTT1990 alihitimu masomo ya elimu ya msingi ambapo alishindwa kupata ufaulu wa kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza.

MTT1990 hakuwa na kichwa cha kufeli mtihani wa darasa la saba isipokuwa kilichotokea ni kwamba, (MTT1990) alitengenezewa tu mazingira rutubishi ya makusudi yaliyopelekea kufeli mtihani huo na aliyetengeneza mazingira hayo ni baba yake mzazi. Vinginevyo MTT1990 hakuwa kwenye level hiyo ya kufeli mtihani huo, kwa sababu evidence zilikuja kuonyesha kuwa shule aliyokuja kusoma baadaye pre-form one, yeye ndiyo alikuja kuwa anaongoza kwenye masomo ya Physics na Mathematics

  • Kwa hiyo MTT1990 alitelekezwa tu kijanja ili asiweze kupata ufaulu wa kujiunga na kidato cha kwanza ili baadaye aelekee Dar es salaam kwa mjomba wake
  • Assumption iliyokuwepo kwa planners wa mambo haya ni kwamba kama MTT1990 angefeli masomo ya elimu ya msingi, basi obvious mhusika angeguswa na hivyo angemchukua kutoka Mwanza na kumleta Dar es Salaam ili aweze kumsomesha kwa kumlipia kwenye shule binafsi, na walikuwa wako sahihi kwa sababu hicho ndicho kweli kilikuja kutokea.
Kwa hiyo by Januari 2005, MTT1990 tayari alikuwa yupo Dar es salaam nyumbani kwa mhusika akisoma kwenye shule binafsi mhusika akiwa amemlipia, yakiwa ni maandalizi mahsusi kwa ajili ya kuanza kidato cha kwanza kwa mwaka uliokuwa unafuata wa 2006

  • Pasipo mhusika kujua, kumbe MTT1990 alikuwa amekuja akiwa na mission nyingine maalum ambayo iliwahi kushindikana kutekelezeka tangu mwaka 1989, kipindi MTT1990 alipokuwa bado yupo tumboni mwa mama yake
  • Hata hivyo, partly mission hiyo iliwahi kufanya kazi kwa baba mzazi wa mhusika au kwa babu yake MTT1990
Akiwa anaishi nyumbani kwa mhusika huku akisoma, MTT1990 alikuwa akifanya kazi hiyo aliyokuwa ametumwa huku akishirikiana na ndugu wengine kadhaa akiwemo baba yake mzazi (baba wa MTT1990) mwenyewe.

  • Still kwa mwaka wote huo wa 2005, bado mhusika alikuwa yuko non-responsive to the attacks
  • Mtu mwingine wa nje ambaye aliwahi kushiriki kwenye mpango huu, ni katuni moja iliyowahi kujisogea kwenye maisha ya mhusika nyumbani kwake tangu Julai 2004, kwa lengo la kuolewa
  • Katuni hii ndiyo iliyokuwa iki-coordinate maswala muhimu ya mhusika kati ya ndugu zake na pia wafanyakazi wenzake ofisini kwa sababu ilikuwa inasoma pia kwenye taasisi anayofanyia kazi mhusika
Katuni hii ilikuwa inaonekana pia kuwa na uhusiano wa karibu sana na SENIOR MSTAAFU WA KIUME, staff- mate wa mhusika

Kwa maelezo mafupi tu ni kwamba, mtu huyu ndiyo alikuwa MR X wa kipindi hicho

………………………….inaendelea
 
MTT1990
…………………inaendelea


Kabla MTT1990 hajahamia Dar es Salaam kwa mjomba wake (mhusika), plan waliyokuwa wamekubaliana mhusika na wazazi wa MTT1990 ni kwamba MTT1990 atakaa nyumbani kwa mhusika kwa muda wa mwaka mmoja akiwa anasoma, akiwa ananolewa kwa ajili ya kuanza kidato cha kwanza mwaka utakaofuata wa 2006, na baada ya hapo angerudi tena kwa wazazi wake kwa ajili ya kwenda kuanza sasa rasmi kidato cha kwanza

Kwa hiyo by Desemba 2005, MTT1990 alirudi Mwanza kwa wazazi wake na Januari 2006 wazazi walimpeleka shule kidato cha kwanza lakini kumbe ilikuwa ni kwa kwa gheresha tu, ila ukweli ulikuwa ni kwamba kuanzia muda huo alitakiwa sasa aanze kutumikia adhabau ya kufeli kutekeleza mission liyokuwa ametumwa kwenda kuifanya Dar es salaam kwa mjomba wake

Ni kwa sababu MTT1990 alikuwa anabeba ushahidi mzito mno mbele ya safari just in case ungekuja kujulikana na hivyo kuanzia wakati huo, alitakiwa asiendelee kuishi tena, NA KUANZIA PALE SASA NDIYO MAISHA YA JELA YA MTT1990 YALIPOANZIA

Mhusika anasikitika kwamba analazimika kuyaongelea mambo haya humu jukwaani. Mhusika analazimika kufanya hivyo kwa sababu WAPO WATU AMBAO HUWA WANAYAFANYA. Na kama wapo watu wanaoyafanya, basi ni lazima tu WAPATIKANE PIA WATU WA KUYASEMA
……..inaendelea
 
BAADA YA MTT1990 KURUDI MWANZA DESEMBA 2005 HUKU AKIMWACHA MHUSIKA DAR ES SALAAM KAMA ALIVYOMKUTA JANUARY 2005

KABLA YA KUENDELEA: PATTERN YA MATUKIO YALIYOKUWA TAYARI YAMESHATOKEA KWENYE MIAKA ILIYOKUWA IMEPITA NYUMA KABLA YA MTT1990 KUJA NYUMBANI KWA MHUSIKA MWAKA 2005


Mwaka 1988 mama mdogo wa mhusika ambaye alihamia nyumbani kwao na mhusika mwaka 1987 baada ya kuachika kwa mumewe (waliyekuwa wameishi naye kwa miongo angalau miwili), kwa sababu ambazo hazikuwahi kujulikana kwa mhusika hadi leo hii, alipata tatizo la kupotelewa na mtoto mchanga wa siku kadhaa mara baada tu ya kuwa amejifungua kitoto hicho.

Mara baada tu baada ya kitoto hicho kufariki, watu wazima wengine wawili walipoteza maisha wakiwa wametangulizana miaka, mmoja mwaka 1988 na mwingine mwaka 1989

  • Ndani ya mwaka huo wa 1988, babu yake na mhusika ambaye ndiye aliyewalea na kuwakuza mhusika na watoto wenzake, ikiwa ni pamoja na kuwasomesha shule ya msingi, naye pia alipoteza maisha
  • Mwaka uliofuata wa 1989 mjomba wake mhusika naye alipoteza maisha pia akiwa na umri wa miaka 32 tu
Kwenye misiba yote hii miwili, kilianza kitoto kwanza kupoteza maisha halafu wakubwa nao ndiyo wakafuatia

Baada ya hapo, mwaka uliofuata wa 1990 MTT1990 alizaliwa na baada ya miezi mitano, baba mzazi wa mhusika alipoteza maisha mwezi August 1990

Pattern hii iliishia hapo na kuja kuanza kujirudia tena kwenye miaka ya baada ya 2000

Mwaka 2002 dada yake mhusika alifika nyumbani kwa mhusika akiwa na watoto wawili wadogo, mmoja akiwa mtoto mchanga akiwa na umri wa takribani mwezi mmoja au miwili tu

  • Ni mhusika aliyemkaribisha dada yake nyumbani kwake baada ya kuona kuwa amechaguliwa kuja kusoma masomo ya shahada ya kwanza na wakati huo huo alikuwa tayari ameshajifungua kitoto ambacho kilikuwa na takribani miezi miwili tu
  • Obvious, mimba ya kitoto hiki ilitungwa huku mbeba mimba akiwa anajua kabisa kuwa baadaye ataenda kusoma masomo ya juu, just in case atachanguliwa
  • Mbali na hilo, mbeba mimba vile vile hakuwa na mpango wa kuahirisha masomo
  • Kutokana na hali hiyo, mhusika alilazimika kumkaribisha nyumnbani kwake kwa sababu hata kile kitoto kingine kilichokuwa kinafuatwa na huyu wa sasa, nacho pia kilikuwa bado ni kidogo muno kuweza kuachwa nyumbani bila ya uwepo wa mama yake.
Watoto hawa hawakuwa wamepishana kwa interval iliyo sahihi, kitu ambacho kinaonyesha wazi kuwa mimba ya huyu wa pili ilikuwa imeharakishwa, na wakati huo huo mharakishaji akiwa anajua fika kuwa alikuwa na mpango wa kwenda shule Dar es salaam mara tu baada ya kuwa amejifungua, huku akiwa hana mpango wa kuahirisha masomo

Watoto hawa walikaa kwa mhusika mwaka mzima huku mama yao akiwa anasoma, na baada ya mwaka huo mzima kuisha mama yao alirudi nao tena Mwanza na kwenda kuwaacha huko. Hakuna chochote kilichotokea kwenye kipindi hicho cha mwaka huo mmoja watoto hao walipokuwepo nyumbani kwa mhusika

BAADA YA HAPO, MTT1990 AWASILI NYUMBANI KWA MHUSIKA JANUARI 2005


Baada ya hapo, MTT1990 alitua nyumbani kwa mhusika na alikaa mwaka mzima kuanzia Januari 2005 hadi Desemba 2005. Vile vile hakuna chochote kilichotokea pia kwenye kipindi hiki cha mwaka mmoja ambao MTT1990 aliishi nyumbani kwa mhusika

MWAKA 2006: KITOTO KINGINE CHAPOTEZA MAISHA MWAKA NA HATIMAYE KUFUATIWA TENA NA WATU WAZIMA WENGINE WAWILI SIKU KADHAA MBELE YA KIFO CHAKE

Ilipofika Julai 2006
, dada wa mhusika alifika tena nyumbani kwa mhusika akiwa na kitoto kingine kichanga cha mwezi mmoja au miwili na ambacho kilikuwa na matatizo ya kiafya

Taarifa za kitoto hiki mhusika alishawahi kuziongelea mara kadhaa humu jukwaani

  • Ni kitoto ambacho kilisemekana kuwa na tatizo la moyo na ambacho kilikuwa kimepewa rufaa ya kuja kupata matibabu huku, huku rufaa hiyo ikiwa imeandaliwa kupitia mikono ya watu binafsi tu
  • Baada ya hali ya kitoto kuonekana kutotengemaa, mama wa mtoto akawa ametoa ushauri kipelekwe kwenye maombezi
  • Mhusika akapendekekeza wakipeleke kwa Askofu Kakobe kwa sababu kwa kipindi hicho alikuwa anarusha vipindi live vilivyokuwa vikionyesha KISHINDO CHA UPONYAJI KWENYE KANISA LAKE
  • Hata hivyo katikati ya majadiliano hayo, alipatikana jirani ambaye alikuwa anasali KANISA A, (ambalo ndiyo kanisa analosali sasa mhusika, ila kipindi hicho alikuwa bado hajawa muumini)
  • Jirani huyu alishauri kitoto hiki kipelekwe KANISA A kwa ajli ya maombezi
  • Mhusika na mama wa mtoto walikubaliana na hivyo mtoto huyo kupelekwa kwenda kuombewa pale Kanisa A
Ikumbukwe kuwa pamoja na mtoto huyu kuwa katika hali hii, baba yake mzazi alikuwa amebaki nyumbani mwanza huku akiwa ANAKULA BATA TU

  • Kwa bahati mbaya, hatimaye kitoto hiki nacho kilikuja kupoteza maisha pia siku kadhaa mbele baada ya kuwa kimerudishwa Mwanza
  • Baada ya kitoto hiki kupoteza maisha, siku chache sana mbele, wazee wengine wawili baba zake wakubwa na mhusika nao pia walipoteza maisha kwa kufuatana na kwenye miezi iliyofuatana pia
Mmoja wao wazee hao ndiyo yule aliyewahi kuwasomesha mhusika na dada yake

Hii pattern ya matukio kama ilivyo hapa inapotokea mtu akai-DECODE, assuming kwamba kweli yako kama yanavyoonekana, NI LAZIMA TU WATU WALIOWAHI KUYAPANGA WAAMINI KUWA DECODER ATAKUWA ALIPEWA TAARIFA NA MTU MMOJA WAO NA AMBAYE ALIKUWA ANAYAJUA TOKA AWALI

OBSERVATION zake mhusika zilimwambia kule ILE KATUNI ILIYOKUWA IMEJICHOMEKA NYUMBANI KWAKE KWA SURA TOFAUTI, ilikuwemo kwenye mpango huu na iliujua mwanzo mwisho

………………itaendelea tena

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
MATUKIO HAYA YANAYOHUSIANA NA MTT1990, KWA MARA YA KWANZA MHUSIKA ALIKUJA KUYA- DECODE MWAKA 2017. KABLA YA HAPO, MHUSIKA ALIKUWA HAJUI CHOCHOTE. KUFIKIA MWAKA 2018, MHUSIKA ALIFANYA MAKOSA YA KUWASHIRIKISHA BBADHI YA WATU HUKO KIJINI KWAO, MAMBO HAYA ALIYOKUWA AMEYAFAHAMU KUHUSIANA NA MTT1990. UTAFITI WAKE UNAMWONYESHA KUWA KITENDO CHA MHUSIKA KUSHINDWA KUYABEBA ALIYOYAONA KUHUSIANA NA MTT1990 NDIYO HICHO KILICHOPELEKEA HATIMAYE NDUGU ZAKE WAWILI WAKAPOTEZA MAISHA MWAKA 2021 NA 2022
 
UPDATE: SATURDAY 31TH DECEMBER 2022

KWA WAUMINI WA KANISA A

MAANA YA KANISA KUTOWEKWA WAKFU UKIUNGANISHA NA MATENGENEZO YA MARA KWA YASIYOISHA IKIWA NI PAMOJA NA PROGRAM NZIMA YA UJENZI WA KANISA HILO AMBAO UMECHUKUA KARIBIA MIONGO MIWILI


Matengenezo ya mara kwa mara yasiyoisha kwenye jengo la Kanisa jipya la Kanisa A, yanamaanisha kutengenezwa kwa milango mipya ya kuzimu kwenye jengo la Kanisa hilo kwa kuongeza vitu vipya kwenye jengo la Kanisa, vyenye manuio ya kuzimu

Hiki kitu ndiyo kile kiliwahi kupelekea Kanisa likawa linajengwa indefinitely bila kuisha kwa karibia miongo miwili

Jengo la Kanisa hlo likishawekwa wakfu, hakuna tena chochote cha kuzimu kinachoweza kuongezeka pale na kikaweza kufanya kazi ya kuzimu, hakipo

Hii ndiyo sababu pekee inayopelekea Kanisa hili liwe na marekebisho ya mara kwa mara na ambayo hayana mwisho na ikiwa ni pamoja na kutowekwa wakfu

OMBI LA MHUSIKA KWA UONGOZI WA NGAZI ZA JUU WA KITAIFA WA KANISA A:

KAMA AMBAVYO UONGOZI HUO ULIKUWA MWEPESI MNO KUMPA ZAWADI YA NGAO RAIS WA JMT WAKATI WA COVID 19, WAWE PIA WEPESI HIVYO KATIKA KUHAKIKISHA KUWA JENGO LA KANISA A LINAWEKWA WAKFU

Mhusika anawaomba viongozi wa ngazi za juu wa Kanisa A (kitaifa) wajaribu kuona umuhimu wa Kanisa A kuwekwa wakfu, na ikiwezekana, wao wenyewe wafike physically Kanisa A kuja kuhakikisha kuwa Kanisa hilo limewekwa wakfu


Mbali na hilo, mhusika anawapongeza sana pia viongozi hawa kwa kile walichowahi kufanya mwaka 2020 wakati wa CORONA kwa sababu walikuwa ndiyo viongozi pekee waliokuwa wa kwanza kumpa ngao Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) kutokana na namna alivyoshughulikia swala la CORONA. Kwa hiyo, kama walivyokuwa wepesi mno wa kumpa zawadi ya ngao Rais wa JMT, mhusika anawaomba wawe pia wepesi hivyo hivyo katika kuhakikiksha kuwa Kanisa A linawekwa wakfu

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 02ND JANUARY 2023

Mhusika anaweka post hii hapa kama kumbukumbu, atakuja kuirejea huko mbele ya safari baada ya kuwa amekamilisha utafiti wake

HINT:
Kwa wale walibahatika kuona tukio moja kwenye vyombo vya habari kuhusiana na mtu ambaye amekkuwa akiishi na takataka nyingi sana ndani ya nyumba na ambazo zimelazimika kuja kusombwa na lori, tukio hilo linawexa kuwa ni la kurengeneza

Kuna maswali mengi zaidi kwenye tukio hilo kuliko majibu.

  • Takataka hizo zilikuwa ni nyingi mno na zilikuwa kila mahali ndani ya nyumba, kiasi kwamba mtu anayeishi humo alikuwa hawezi ukawasha hata mshumaa
  • Ilisemekena kuwa zilikuwa zinatoa harufu huku nyumba hiyo ikiwa imezungukwa na wapangaji wengi mno
  • Takakataka hizo ni za miaka na miaka
  • Kuna wapanganji ambao wamekuwa wakiishi kwenye nyumba hiyo miaka na miaka, lakini hawakuweza kugundua kuwa kulikuwa na takataka nyumba jirani, ilhali takataka hizo zilikuwa zinatoa harufu
  • Takataka zilikuwa ni nyingi mno kiasi cha kuja kuchukuliwa na Lori kubwa
MOTIVE YA MHUSIKA NYUMA YA UTAFITI WA TUKIO LA TAKATAKA HIZI

Tukio la takataka hizi linaweza kuwa linafanana tu na lile la ubakaji wa watoto wa shule ambalo baadhi ya mashuhuda wake walionekana wakiwa wanashuhudia kubakwa kwa watoto hao huku wakiwa wamejifunga kanga usoni

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 09TH JANUARY 2023

OMBI MUHIMU SANA KWA UONGOZI WA KANISA A KUHUSIANA NA SCREEN ZILIZOWEKWA KWENYE KANISA JIPYA


Mhusika anapendekeza screen hizo ziwe zinatumika kwa burudani ya mziki wa injili, (Gospel music) kwenye ile transition ya muda wa kutoka Ibada ya kwanza kwenda Ibada ya pili, kabla ya Ibada ya pili kuanza

Screen hizi hazijawahi kutumika kwa namna hii hata mara moja, huku mda mrefu ukiwa umepita tangu zimekuwepo kwa mara ya kwanza

Hiki kitu kiko obvious sana lakini kwa bahati mbaya viongozi wamepitiwa kidogo hawajakiona na hivyo kupelekea waumini kuwa wanakaa wamejikunyata wakiwa wanasubiria Ibada ya pili

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: TUESDAY 09TH JANUARY 2023

TAARIFA MUHIMU: HATIMAYE “SECRET CODE” YA KANISANI (KANISA A) ILIYOKUWA IKIAMBATANA NA AJALI HATIMAYE IMEKUWA DECODED

TUKIO LA MR X KUPAKI JIRANI NA GARI LA MHUSIKA J2 YA KRISMAS TAREHE 25/12/2022 LILIKUWA NI MOJAWAPO YA MATUKIO YA UTEKELEZAJI WA SECRET CODE HIYO

MAELEZO YA CODE YENYEWE


Kwa mara nyingi sana na kwa kipindi kirefu sasa mhusika amekuwa akikumbana na matukio kadhaa anapokuwa yupo mazingira ya Kanisani; KANISA A, na ambayo baadhi yake amekuwa akiyalalamikia mara kwa mara humu jukwaani

Baadhi tu ya matukio yenyewe ni kama yafuatayo
  • Mhusika kulazimika KURUDISHA GARI NYUMA KWA REVERSE anapokuwa aidha anataka kuingiza gari ndani ya uzio wa Kanisa, au anapokuwa tayari ameshaingiza gari ndani ya uzio wa Kanisa; katika namna ambayo kurudi nyuma huko kunakuwa kumepangwa makusudi,
  • Mhusika kulazimika kukanyaga breki na hivo kusimama anapokuwa anaendesha gari, (aidha anapokuwa yupo kwenye harakati za kuingia ndani ya uzio wa Kanisa au anapokuwa anataka kutoka baada ya Ibada kumalizika); kutokana na GARI NYINGINE AMBAYO INAKUWA NA MTU NDANI YAKE AKIIENDESHA, na hivyo kupelekea mhusika KULAZIMIKA KUFANYA HIVYO
Tukio la aina hii ndiyo lile lililowahi kupekekea mhusika akapata ajali ya kutoboa taa za nyuma za gari lake, baada ya kugongana na gari jingine iliyokuwa imepaki, mhusika akiwa anarudisha gari nyuma kwa reverse, akimpisha mtu mwingine aliyekuwa anaingiza gari ndani ya uzio wa Kanisa, yeye mhusika akiwa anatoka

  • Mhusika kulazimika kuingia TENA ndani ya gari na kuwasha gari kwa madhumuni ya kuipisha gari nyingine inayokuwa inataka kutoka muda huo huo; BAADA YA KUWA AMESHAPAKI TAYARI KWA KUELEKEA NDANI YA KANISA KWA AJLI YA IBADA; ILHALI muda wa gari zilizokuwa zinatakiwa kutoka ulikuwepo wa kutosha na kwa wakati huo muda huo unakuwa umeshapita kitambo kirefu
  • Hapa maana yake ni kwamba gari ya aina hii inakuwa ni ile ambayo KWA MAKUSUDI haikutoka wakati ilipokuwa inatakiwa kutoka isipokuwa ilikuwa inasubiria mhusika aje apaki gari yake kwanza huku yenyewe ikiwa imejitegesha katika namna ambayo lazima kupaki kwake mhusika kutaiziba gari hiyo, na baada ya hapo sasa ndiyo gari hiyo iamue kutoka na hivyo kulazimika mhusika aombwe kuipisha ili iweze kutoka
  • Gari la mhusika kuzibwa na gari nyingine kwa makusudi likiwa kwenye parking na ambaye anakuwa hajulikani aliko, kiasi kwamba inabidi mwenye gari iliyomziba mhusika atafutwe kwanza ili aje ampishe mhusika, na baada ya hapo ndiyo mhusika aweze kutoka
Kwa mara ya kwanza, matukio ya kuzibwa kwa makusudi kwa gari la mhusika na gari nyingine, yalifanyika mwaka 2017 baada ya mhusika kuwa amerudi kutoka uhamshoni Kanisa B

Matukio haya ya nyuma yalikuwa yanafanyika wakati wa Ibada za jioni ambazo zilikuwa zinamalizika saa 2:00 usiku

Kwa kipijdi hicho, kuzibwa huko kwa makusudi kwa gari la mhusika, kulikuwa pia kunaambatana na matukio mengine njiani wakati wa usiku, pindi alipokuwa anakuwa yupo njiani akitoka Kanisani kuelekea nyumbani

Baada ya kuona hivyo, mhusika aliamua kusitisha kabisa Ibada zote za jioni tangu kipindi hicho hadi leo

Kwa matukio ya hivi karibuni na hasa hasa yale ya mhusika kulazimika kurudisha gari nyuma kwa REVEERSE pasipokuwa na ulazima wowote, yametokea kwenye Jumapili zifuatazo

  • J2 ya tarehe 13/11/2022; J2 ambayo ndiyo ile mhusika aliombwa lift na Bibi. Baada ya hapo, ilitokea gari aina ya VANGUARD na kumlazimisha mhusika kurudi nyuma kwa reverse kwanza, na hivyo kupelekea Bibi amkute akiwa tayari yuko nje ya uzio wa Kanisa na hivyo kushindwa kumchukua
  • J2 ya Krismas ya tarehe 25/12/2022, ambalo tayari ameshaliongelea na ndiyo lile lililomhusisha MR X
  • J2 ya wiki iliyopita ya tarehe 08/01/2023. Kwenye tukio hili, gari hii ile ile aina ya VANGUARD imehusika pia, na dereva wake akiwa ni yule yule
Kabla ya kuingia kwenye CODE yenyewe, maelezo kamili na mafupi kuhusiana na matukio mengine ya nyuma ikiwa pamoja na hili lililtajwa hapa mwisho, yanafuata
 
BAADHI TU YA POSTS ZA NYUMA AMBAZO MHUSIKA AMESHAWAHI KUZILETA HUMU JUKWAANI AKILALAMIKIA MATENDO YA KULAZIMIKA KUWASHA TENA GARI (KUISOGEZA MAHALI PENGINE KWA AJILI YA KUZIPISHA GARI ZINGINE), MARA BAADA YA KUWA AMSHAINGIZA GARI NDANI YA UZIO WA KANISA NA HATIMAYE KUPAKI

Nyingi ya posts hizi zina maelezo ambayo ni ya moja kwa moja na yako mwanzoni, na baadhi yake zina maelezo yaliyochanganyikana na maelezo ya matukio mengine.

Kwa posts zile ambazo zimechanganyikana na maelezo mengine, mhusika ametoa nukuu ya baadhi ya maneno na kuyaweka kwenye ITALIC; na kwa posts ambazo maelezo yake yanafuata mara tu baada ya kichwa cha habari yenyewe, mhusika ameziambatisha na neno DIRECT

Baadhi ya posts hizo ni kama zilivyoorodheshwa hapa chini

#924

DIRECT

#926
“Mhusika yeye kwa ufinyu wake wa mawazo anaweza hata kuwa ana mawazo kuwa kile kitendo cha yeye kuwa obstructed J2 hiyo alipokuwa anataka kuingiza gari Kanisani na hatimaye kulazimika kurudi reverse; (ukiweka reverse gear, taa za BRAKE huwa zinawaka pia) ndiyo kinaweza kuwa kimechangia ajali hizo; kwenye ulimwengu wa roho. Ni mawazo yake tu lakini possibly yanasababishwa na uchanga wake wa kiroho”

#931

DIRECT

#951
  • “J2 hiyo pia, baada ya kuwa amepaki gari; kabla hajaondoka kwenye parking KIONGOZI WA VIJANA (tumwite KWV) alifika ghafla maeneo yale na kudai kuwa anataka kutoka na hivyo kumuomba mhusika ampishe ili atoke
  • Mhusika alimweleza KWV gari lake linaleta shida kwenye gia, lakini akaahidi kumpisha kwa sababu REVERSE GEAR ilikuwa inafanya kazi
  • Mhusika aliingia kwenye gari na kuanza ku-manuva gari kwa kurudi nyuma kwa REVERSE GEAR, lakini baadaye KWV aliamua kughairi kutoka na kumuomba mhusika aachane na pilika pilika za kumpisha”
#1,112

DIRECT

#1,299
DIRECT

#1,300
DIRECT

KUHUSIANA NA MUUMINI ALIYEASISI VURUGU HIZI ZA KWENYE PARKING MWAKA 2017 NA KUPELEKEA MHUSIKA KUSITISHA IBADA ZA JIONI HAD LEO HII

Huyu ndiyo muumini yule ambaye alikuja kuhusika tena kwenye mojawapo ya matukio ya hivi karibuni na ambaye uhusika wake umetajwa kwenye post hii hapa #951; safari hii akiwa anatajwa hapa kama KIONGOZI WA VIJANA

THE ULTIMATE TASK: DECODING THE CODE
CODE hii huwa inahusika na vitu viwili vikubwa kwa kuanzia na ambavyo ni
  • RELATIVE SPEED YA VITU wakati wa kuingia au kutoka ndani ya uzio wa Kanisa, na kwa context ya Kanisa A, maana yake ni magari na watu (waumini waliopo Kanisani siku hiyo pamoja na magari yao)
  • DOPPLER EFFECT: Strictly huwa inatokea wakati wa Ibada kuanza tu na maelezo mafupi sana kuhusiana na effect hii yanafuata hapa chini
DOPPLER EFFECT ni uhusiano uliopo kati ya hali ya UMAKINI AU UHAFIFU WA SAUTI kama inavyokuwa inatoka kwenye kitu kinachotoa sauti kwenda kwa msikiaji wa sauti hiyo; UNAOSABABISHWA NA UMBALI ULIOPO KATI YAKE MSIKIAJI NA KITU KILE KINACHOTOA SAUTI HUSIKA
  • Kadri umbali huu unavyozidi kuwa mkubwa, UHAFIFU wa kusikia hutokea kwa msikiaji, na hatimaye kutokusikia kabisa chochote kadri umbali huo unavyozidi kuongezeka
  • Vile vile, kaddri umbali huu unavyozidi kupungua, UMAKINI wa usikiaji wa sauti huongezeka kwa msikiaji, na pengine yaweza kupelekea sauti hizo zikageuka na kuwa kelele zinazoweza kusumbua masikio ya msikiaji
Hali hii ilivumbuliwa na kutolewa maelezo ya kitaalamu na mtu mmoja aliyekuwa anaitwa DOPPLER; na mtu pekee asiyeweza kuifahamu hali hii ni yule tu ambaye hajawahi kusikia kabisa; yaani yule ambaye hawezi kusikia kabisa; mithili ya alivyolkuwa awali, yule muumini aliyewahi kukaribishwa madhabahuni hivi karibuni wakati wa mafundisho ya Ibada kuu na akatoa ushuhuda wa namna alivyoweza kupata usikivu tena
……………….inaendelea
 
THE ULTIMATE TASK: “DECODING THE CODE”

KILE AMBACHO KIMEKUWA KIKIFANYIKA HASA BAADA YA MHUSIKA KUOMBWA AINGIE KWENYE GARI KUPISHA MTU AU KULIWEKA GARI MAHALI PENGINE


Mhusika akishaingia kwenye gari na kuanza kuisogeza gari mahali; mambo kadhaa huwa yanatokea kutokana na ukweli ufuatao

  • Wakati huo, gari anayokuwa anaendesha mhusika, inakuwa na speed fulani; relative na mtu mwingine aliyesimama pale akiwa nje ya gari
  • Vile vile, gari hiyo inakuwa na speed fulani pia; relative na mtu mwingine aliye mahali pale akiwa ndani ya gari nyingine
  • Kwa matukio yale ya awali, mtu anayekuwa ndani ya gari ya aina hii anakuwa ni yule ambaye ameomba apishwe na mhusika ili (mpishwa) aweze kutoka
  • Na kwa tukio la hivi karibuni kabisa la J2 ya Krismas ya tarehe 25/01/2023 (mhusika alipokuwa anababaishwa na shemasi wa kiume kwenye parking), mtu aliyekuwa ndani ya gari ni yule mama shemasi mwingine aliyekuwa bado hajashuka kwenye gari na aliyekuwa anakanyaga brake za gari lake
Mama huyu ndiye pia yule aliyewahi kuendesha gari kwa kusimama simama kwenye J2 moja huku mhusika akiwa anamfuata kwa nyuma, wakati wa kuingia ndani ya uzio wa Kanisa, wakati wa Ibada ya pili

Kwenye tukio lenye kufuatana na hilo, yaani lile la nyuma yake J2 ya tarehe 13/11/2022 (mwaka jana), kulikuwa na Security Guard aliyekuwa nje ya gari, ambaye alikuwa anaongea na Profesa, ambaye yeye (Profesa) alikuwa ndani ya gari aina ya VANGUARD akijaribu ku-manouvre around

Mbali na hayo, kitendo cha mhusika KUWASHA TENA GARI na kuanza kurudi nyuma au mbele na hatimaye baada ya hapo, kupaki sehemu nyingine; huhusisha mateno kadhaa MUHIMU baadhi yake tu yakiwa ni kama yafuatayo

  • Kuwasha gari na hivyo, gari kupelekea gari hiyo kuanza kuunguruma
  • Kuweka REVERSE SPEED GEAR na kuanza kurudi nyuma
  • Kukanyaga BRAKE na kusimama, baada ya kuwa amerudi nyuma
  • Kuondoa REVERSE GEAR na hatimaye kuanza ku-engage forward speed gears na kutembea kwenda mbele tena
Matendo ni mengi lakini kwa sasa mhusika angependa kuyaongelea haya ambayo ndiyo ameyaona ni ya muhimu kwake

Kitendo cha kuungurumisha gari, na kuanza kubadilisha POSITION ya gari, ndiyo kile ambcho huwa kinapelekea uwepo wa DOPPLER EFFECT, ambayo huwa inatokea kati ya muungurumo wa gari la mhusika na watu wengine (wawili) waliopo mahali pale karibu,; yaani mtu aliye ndani ya gari nyingine tofauti na ile ya mhusika, na huyu mwingine aliye chini, nje ya gari zote mbili

  • Mpaka hapa, DOPLLER EFFECT kati ya watu wawili walioko ndani ya magari, kila mmoja akiwa ndani ya gari lake, gari mojawapo ikiwa imesimama na nyingine ikiwa inatembea, inakuwa imeshughulikwa
  • Vile vile DOPLLER EFFECT kati ya watu wawili kila mmoja akiwa ndani ya gari lake, magari yote mawili yakiwa yanatembea nayo pia inakuwa imeshughulikwa wakati huo huo
  • Mbali na hayo yote, DOPLLER EFFECT kati ya mtu mmoja aliye ndani ya gari inayotembea (au iliyosimama huku injini ikiwa inaunguruma) na mwingine aliye chini nje ya gari nayo pia inakuwa imeshughulikwa
KWA NINI WANAMTUMIA MHUSIKA KWA MTINDO HUU?

Ni kwa sababu yeye ni kikwazo kwa uwepo wa mapepo Kanisani hapo, anazuia mapepo kuwepo kanisani

KINACHOTOKEA BAADA YA UBABAISHAJI HUU KUFANYIKA

Mhusika huwa anaondoka pale kwenye parking akielekea ndani ya nyumba ya Ibada, huku akiwa amebebeshwa PEPO lililorushwa kwenye DOPPLER EFFECT

Kwa hiyo kadri mhusika anavyozidi kusogea ndani ya nyumba ya Ibada, ndivyo kadri usikivu wa sauti za nyimbo za ibada unavyozidi kuimarika masikioni mwake,…….., DOPPLER EFFECT

Na hii ndiyo maana mara zote, upumbavu huu wa kwenye parking huwa unafanyika Ibada ikiwa tayari imeshaanza, vyombo vya muziki vikiwa vimeshaanza kupiga na huku waumini wakiwa wameshaanza kuimba

Kwa hiyo mhusika huwa anachukua pepo lililorushwa kwenye DOPPLER EFEECT kwa kutumia mungurumo wa gari lake kutokea kwenye parking, anaondoka nalo na kulipeleka kwenda kuanza kutumika kwenye nyumba ya Ibada wakati wa Ibada ya Kusifu na Kuabudu

Kwa wasomaji wa siku zote wa uzi huu, watakumbuka matukio kadhaa ambayo mhusika amewahi kuyaelezea na ambayo alilazimika kubadilisha nafasi ya kukaa kutokana na kutokea mabadiliko ya usikivu na hivyo kupelekea kuwa na usikivu mbovu kutokea madhabahuni, baada ya spika kuwa zimechezewa makusudi na hivyo kutengeneza DOPPLER EFFECT with respect to his (mhusika) sitting position

KINACHOTOKEA BAADA YA MHUSIKA KUWA AMESHAINGIZA PEPO LA DOPPLER EFFECT NDANI YA KANISA


Mara nyingi sana, Ibada ya Kusifu na Kuabudu huwa inakuja kuhitimishwa kwa kutumia maneno kama “………..TWAKUPIGIA MAKOFI MUNGU WETU, TWAKUSHANGILIA………” na baada ya hapo ndiyo neon AMINA huwa linafuata

Kwa hiyo wamekuwa wakimtumia mhusika mwenyewe kuingiza mapepo Kanisani na kuanza kuyatumia mapepo hayo kwa mashambulizi kama wanavyoona inafaa

THE WORST CASE SCENERIO

Mapepo haya yakisharushwa kwenye speed za gari, kwenye brake na kwenye DOPPLER EFECT, ndiyo yale yanayopelekea baadhi ya ajali zinatokea kila mahali ndani ya nchi yetu

  • Kuanzia pale kila kinachogusana na gari kinakuwa na pepo, na kikubwa kabisa ambacho MARA ZOTE wamekuwa wakikitafuta, NI ARDHI
  • ARDHI inabebeshwa mapepo kupitia vitu vinavyogusana na ardhi na hivyo kila kilicho kwenye ardhi kinabeba mapepo ikiwa ni pamoja na MAJI
  • Sauti zote pia hubebeshwa mapepo, zikiwemo zile za manabii ambao huwa wanatoa unabii Kanisani
Mapepo haya yamekuwa yakitengenezwa hapo kanisani na kwa kumhusisha mhusika mwenyewe na hatimaye, kurushwa kila mahali ndani na nje ya nchi yetu

……………………..itaendelea tena

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
USHAHIDI MWINGINE WA WAZI UNAOONYESHA KUWA MARA NYINGI MHUSIKA AMEKUWA AKIBEBESHWA MAPEPO PASIPO KUJUA NA KWENDA KUINGIA NAYO NDANI YA NYUMBA YA IBADA

Kuanzia J2 ya tarehe 03/07/2022 hadi J2 ya tarehe 18/09/2022, mhusika alilazimika kuwa na ratiba iliyokuwa ikimlazimisha kufika Kanisani akiwa amechelewa kidogo na hivyo kila mara kukuta Ibada zikiwa tayari zimeshaanza, kitu ambacho hakijawahi kuwa kawaida yake siku zote za awali.

Hata hivyo kwenye uchelewaji huo, kuna kitu kikubwa mhusika alibahatika kukiona

  • Ilitokea kwa bahati nzuri J2 moja akawahi, baada ya kuwa amechelewa J2 nyingi sana za kipindi cha nyuma
  • Kwenye J2 zote ambazo mhusika alikuwa anachelewa, mwimbishaji mkuu wa Kikundi cha Ibada za Kusifu na Kuabudu, alikoma kabisa kuongoza Ibada hizo ispokuwa kwenye J2 moja hiyo tu ambayo mhusika alibahatika kuwahi na kukuta Ibada ikiwa bado haijaanza
Mhusika hakumbuki vizuri tarehe ya J2 hiyo isipokuwa anadhani labda ilikuwa aidha ni ya mwishoni mwa mwezi wa 8 au ya mwanzoni mwa mwezi 9

Ndani ya kipindi hiki tajwa, kwenye J2 zote ambazo mhusika hakuwahi kufika Kanisani kabla ya Ibada kuanza; mwimbishaji mkuu wa Ibada za Kusifu na Kuabudu, hakuwahi kuongoza Ibada ya Kusifu na Kuabudu hata moja

  • Kwa hiyo ndani ya kipindi hiki tajwa, mwimbishaji huyu aliimbisha kwenye J2 moja tu ambayo mhusika alibahatika kuwahi
  • J2 zingine zote zilizobaki mtu huyu hakuwahi kuimbisha na kuna mojawapo ya J2 hizo ambayo alionekana akiwa amekaa upande wa waumini, hakupanda kabisa madhabahuni
Kwenye J2 hiyo, ilikuwa ni mara ya kwanza kwa mhusika kumuona muimbishaji huyu akiwa yupo kwenye Ibada na hajapanda madhabahuni, tangu mhusika aanze kuabudu kanisa A mwaka 2011

Huyu mwimbishaji ndiyo yule ambaye kwenye mojawapo ya J2 zilizopita hivi karibuni, mhusika alimuelezea kuwahi kumona akiteta kitu na Kiongozi Mkuu wa Kanisa A (KM-A) ambaye (KM-A) alikuwa amekaa peke yake ndani ya nyumba ya Ibada na katika hali iliyoonyesha kama ya kujibanza hivi. Ilikuwa ni wakati wa kipindi kile cha kusubiria Ibada ya pili

Huyu kiongozi wa waimbaji alionyesha pattern hiyo kwamba ilipokuwa inatokea mhusika anafika Kanisani kwa kuchelewa, kiongozi huyu wa waimbaji alikuwa hawezi kuongoza kipindi cha waimbaji wa Kusifu na Kuabudu

Ushahidi huu upo kwenye clips za Ibada ambazo zipo online; iwapo tu hazijachezewa. Kwenye kipindi hiki tajwa cha takribani miezi mitatu, kiongozi huyu aliongoza Ibada moja tu wakati katika hali ya kawaida, karibia asilimia 90% ya Ibada zote kwa mwaka huwa anaongoza yeye

Baada ya kipindi hicho kupita na hatimaye mhusika kurejea tena kwenye ratiba yake ya kawaida ya kuwahi kabla Ibada haijaanza, kiongozi huyu wa waimbaji alirejea tena madhabahuni kama kawaida, hadi leo

……………………..itaendelea tena

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: WEDNESDAY, 11TH JANUARY 2023

KILE KILICHOPELEKEA MR X KUCHELEWA KUFIKA KWENYE IBADA J2 YA KRISMAS TAREHE 25/12/2022 HIVYO KUJA KUPAKI GARI LAKE NYUMA YA GARI LA MHUSIKA J2 YA KRISMAS TAREHE 25/12/2022


J2 hiyo, MR X angeweza kupaki sehemu nyingine, nafasi kubwa tu na ya kutosha ilikuwepo Kanisani, ukizingatia kile ambacho MR X alikuwa tayari ameshafanya kwenye gari la mhusika kwenye mazingira ya ofisini
  • Siku hiyo, baada ya MR X kupaki gari yake nyuma ya lile la mhusika, gari nyingine moja tu ilikuja kupaki nyuma ya lile la MR X
  • Baada ya gari hizi mbili kuwa zimepaki kwenye mstari huo, hapakuwepo na gari nyingine tena iliyokuja kupaki (kwenye mstari huo) na hivyo nafasi nyingine iliyokuwa inafuata iliendelea kubaki ikiwa tupu hadi getini, kiasi kwamba kama gari hizi mbili zisingekuja kupaki nyuma ya gari la mhusika, mhusika angeweza kugeuza gari na hivyo kutolazimika kutoka nje kwa kutumia REVERSE GEAR
Ikumbukwe kuwa mhusika alifika akiwa amechelewa kidogo kwenye Ibada ya siku hiyo, ila MR X yeye alifika akiwa amechelewa zaidi, na hivyo kupaki gari lake nyuma ya lile la mhusika

Namna alivyokuwa amepaki mhusika, kulitokana na maelekezo ya shemasi aliyekuwepo kwenye eneo la parking, na maelezo ya nyongeza kuhusiana na yaliyotokea siku hiyo, mhusika tayari ameshayatoa kupitia kwenye post hii hapa #1,299

Mambo kadhaa yalipelekea MR X kuja kupaki nyuma ya gari la mhusika ambayo ni kama yafutavyo hapa chini

MOJA: Kuhakikisha kuwa mhusika hana namna nyingine ya kutoka ndani ya uzio wa Kanisa, isipokuwa kwa kutumia REVERSE GEAR.

  • Hiki kilifanyika ili kuhakikisha kuwa MR X anapata nafasi ya kuzifanyia kazi taa za nyuma za gari la mhusika, ikiwa ni pamoja na zile za brake ambazo huwa zinawaka REVERSE GEAR ikishakuwa engaged
  • Alichofanya hapa MR X ni trick ya kuhakikisha kuwa mhusika lazima atoke nje ya uzio kwa kutumia REVERSE GEAR,
Trick hii ndiyo ile aliyokuwa anajaribu kuifanya pia Profesa kwenye J2 nyingine ile ya tarehe 13/11/2022 isipokuwa kwa bahati mbaya tu mhusika hakuweza ku-respond vizuri kwenye trick hiyo
  • Kwa hiyo pamoja na mambo mengine, lengo jingine la Profesa siku hiyo ilikuwa ni kumtengenezea pia mhusika mazingira ili alazimike kutoka kwa kutumia REVERSE GEAR
  • Hata hivyo, baada ya mhusika ku-manouvre around japo kwa taabu kwa sababu kwa kiasi kikubwa sababu gari la Profesa lilikuwa limemzuia, hatimaye alifanikiwa kutoka pasipo kutumia REVERSE GEAR
Facts alizonazo mhusika mpaka muda huu, zinamwonyesha kuwa baada ya kufanikiwa kutoka pasipo kutumia REVERSE GEAR siku hiyo, the trickers wakawa wamejifunza somo kwamba mhusika asipobanwa vizuri kwenye parking, huwa ana uwezo mkubwa wa ku-manouvre around na hivyo kuweza kutoka pasipo kutumia REVERSE GEAR

Kwa hiyo, failure ya Profesa J2 ya tarehe 13/11/2022 ya kumbana vizuri mhusika ili atoke kwa kutumia REVERSE GEAR, ikawa imetoa somo kwamba next time mhusika inabidi abanwe vizuri ili alazimike kutoka kwa kutumia REVERSE GEAR, na kazi hiyo safari hii akawa amekabidhiwa MR X

BAADA YA TAREHE 13/12/2022; MHUSIKA HAKUHUDHURIA IBADA J2 TATU MFULULIZO


Baada ya mhusika kukumbwa na tukio la J2 ya tarehe 13/11/2022, aliacha kuhudhuria Ibada kwa wiki tatu mfululizo, hadi ilipofika tena J2 ya tarehe 04/12/2022 ndiyo pale mhusika alionekana kwa mara nyingine tena Kanisani

Na kwa sababu kuanzia J2 hiyo (ambayo mhusika alianza kuhudhuria tena Ibada Kanisani) hadi J2 ya Krismas tarehe 25/12/2022; ratiba za Ibada zilikuwa zimekaa katika namna ambayo mhusika alikuwa analazimika kuhudhuria Ibada za kwanza badala ya zile za pili kama ilivyo kawaida yake; chances ni kwamba trickers walijua kuwa kwenye baadhi ya Ibada hizo lazima tu watamkamata na kumfanya atoke nje kwa kutumia REVERSE GEAR, kitu ambacho kweli kilitimia siku ya Krismas, J2 ya tarehe 25/12/2022

………………inaendelea
 
MR X’s PLAN
…………………….inaendelea

MBILI:
Ku-monitor speed ya kutoka nje ya mhusika, huku naye (MR X) akiwa yuko nyuma ya mhusika huku wote wakiwa wanatoka kwa kutumia REVESRE GEAR. Hapa alikuwa MR X alikuwa anashughulika na speed

TUKIO JINGINE LA HIVI KARIBUNI ZAIDI LINALOFANANA NA HAYA AMBALO LIMETOKEA J2 YA TAREHE 08/01/2023 WAKATI MHUSIKA ALIPOKUWA ANAINGIZA GARI NDANI YA UZIO WA KANISA

Hili ni tukio la kwanza kabisa kwa matukio yatakayokuwepo mwaka huu wa 2023


J2 hiyo, mhusika aliwasili Kanisani na kukuta Ibada ya kwanza iko mwishoni kabisa, ila waumini walikuwa bado hawajaanza kutoka, na hivyo kulazimika kupaki gari lake nje kwa muda

Baada ya muda mfupi kupita, waumini walianza kutoka
  • Wakati huo, mhusika alikuwa usawa wa geti la Kanisa, akiangalia namna magari yalivyokuwa yanatoka ili baadaye akachukue la kwake na kuliingiza ndani
  • Baada ya dakika kama 15 hivi kupita huku mhusika akiwa yupo maeneo ya getini, magari yote yaliyokuwa yanaonyesha dalili zote kuwa yalikuwa yanatoka nje, yalionekana kukatika
Baada ya kuona hivyo, mhusika alitoka nje, akachukua gari lake na kuanza kuliendesha akiwa anelekea usawa wa getini

Baada ya kufika usawa wa getini ila akiwa bado yupo barabarani, mhusika aliona gari mbili zilizokuwa zimechelewa kutoka, ziko usawa wa geti zinatoka.
  • Hapa mhusika alillazimika kusimama kidogo kwa muda barabarani ili kuziruhusu gari hizo zitoke
  • Haukupita muda mrefu gari hizo zilitoka na hatimaye mhusika naye kupewa kiashiria cha kuingia ndani kutoka kwa mamlaka husika iliyokuwa inaongoza magari
Wakati huo, mbele ya mhusika, kulikuwa na gari nyingine moja aina ya VANGURAD ambayo mhusika aligundua papo kwa papo kuwa nayo vile vile ilikuwa kwenye harakati za kuingia ndani
  • Baada ya mhusika kuwa amesogea mbele kidogo na akiwa tayari ameshaingia ndani ya uzio wa Kanisa, mbele aliiona gari nyingine tena ambayo ilikuwa bado iko kwenye harakati za kutoka nje, na ilikuwa inatoka kwa kutumia REVERSE GEAR
  • Wakati huo gari hiyo ilikuwa imesimama, possibly mzito aliyekuwa kwenye gari hiyo alikuwa anaongea na mzito mwingine
Gari hii iliyokuwa inatoka, iliiizuia VANGUARD kuendelea mbele, na hivyo mwenye VANGUARD kulazimika kuipisha gari hiyo kwanza kabla hajaweza kupaki kwenye sehemu sahihi aliyokuwa amepanga kupaki
  • Baada ya VANGUARD kuwa imeipa nafasi gari hiyo iliyokuwa inatoka, mhusika naye alilazimika vile vile kubana upande kidogo ili kuipisha gari hiyo
  • Wakati huo VANGUARD ilikuwa ina-manouvre sasa kwa ajili ya kupaki upande wa kushoto wa uzio wa Kanisa, ikiacha njia katikati kwa ajili ya magari mengine kupita kwenda kupaki kwenye mistari ya katikati
VANGUARD ikiwa inapaki, mhusika alimuona Profesa kwenye gari hiyo na hivyo kutambua kuwa VANGUARD hiyo ndiyo ile aliyowahi kukumbana nayo tena kwenye parking J2 ya tarehe 13/11/2022

Wakati huo, kulikuwa na realtive speed kati ya VANGURAD na gari la mhusika

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 19TH JANUARY 2023

Tukio alilowahi kuliongelea mhusika kwenye post hii hapa #1,310 lilikuwa ni la kutengeneza kwa makusudi

Tukio jingine la hivi karibuni linaloweza kuwa linafanana na hilo, ni hili hapa #1

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: THURSDAY, 19TH JANUARY 2023

KILE AMBACHO MHUSIKA AMESHAJIFUNZA, KUTOKANA NA YALE AMBAYO YAMEKUWA YAKIENDELEA KANISA A; NA AMBACHO ANA UHAKIKA ASIOWEZA KUUTILIA MASHAKA

Ili pepo aweze kurushwa kwenye kundi la watu, inabidi kuwe na hadhira

  • Baada ya hapo, anayehusika na kurusha pepo, ata-design tukio ambalo litahusisha hadhira ya watu, na ambayo atahakikisha kuwa hadhira hiyo inaliona na/ au inalisikia;
  • Hadhira hiyo inaweza kushuhudia tukio hilo LIVE kwenye mazingira yale iliyopo ilipo muda huo, au lisilo LIVE kama vile la kurushwa kwenye mitandao ya jamii
  • Kwa makusanyiko LIVE, yanaweza kuwa kama vile ya misiba, vikao vya harusi, Ibada Kanisani, vikao maofisini, n.k.
  • Kwa makusanyiko ambayo siyo LIVE, kinaweza kuwa kitu chochote kile kama vile video zilizorekodiwa kwa njia ya simu au kwa njia ya kusikiliza audio clips kwenye mitandao ya jamii
  • Kwa njia ya ya kutumia audio clips, pepo huyo anaweza kurushwa kwa njia ya maneno tu
  • Kwa njia ya video, pepo huyo atarushwa kwa njia ya kuona na kusikia pia
Kwenye maelezo haya, waumini wa Kanisa A wanaombwa warejee tena tukio la Desemba 2020 ambalo waliwahi kuleta mrejesho Kanisani kwa KM-A

CODE ZA MANENO AMBAYO KWA SASA ZINATUMIKA SANA KURUSHA MAPEPO

Ni ULAWITI na UZINZI


Ni kwa sababu watu wenye tabia hizi huwa hawakosekani kila mahali ndani na nje ya nchi. Kwa hiyo hawa wanatumika kama carriers, wanabebeshwa mapepo na hivyo wao nao kuanza kuyasambaza kwa watu wengine wasiokuwa nayo

Kwa njia ya kuona, vitu vingi vinaweza kutumika; mathalani ule uchafu alionao mtu nyumbani kwake ambao huwa anaenda kuutupa kwenye shimo la takataka, unaweza kutumika pia

Kwa hiyo kwa mfano, mtu akiamua kurusha pepo linalohusiana na takataka zilizoko majumbani mwa watu, anatengeneza scenario tu ambayo atahakikisha kuwa kuna hadhira ambayo itaona takataka za jalalani na hapo anakuwa amemaliza kazi

Ndiyo maana mhusika aliamua kuweka kwanza post hii hapa #1,310

In the war between falsehood and Truth (GOD), falsehood wins the first battles and truth, the last
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
UPDATE: MONDAY 23RD JANUARY 2023

KUHUSIANA NA BIBI MUUZA VITABU AMBAYE HUWA ANAFIKA OFISINI NA KUKUTA WENYEJI WAKE HAWAPO NA HIVYO KUELEKEA OFINI KWA MHUSIKA BAADA YA HAPO


Kwa mwaka huu wa 2023, Bibi huyu ameshafika ofisini kwa mhusika mara mbili na mara ya mwisho ilikuwa ni wiki jana, Alhamis ya tarehe 19 Januari 2023

Kwa mara zote mbili hizi ambazo Bibi huyu amefanikiwa maeneo ya ofisni, pia hakufanikiwa kuwakuta jamaa zake ambao huwa anakuja kuwatembelea siku zote na hivyo kupelekea kupitiliza moja kwa moja hadi ofisini kwa mhusika

  • Hata hivyo, mhusika alishamuomba Bibi huyu asifike ofisini kwake lakini naona bado hawajaelewana vizuri
  • Inaonesha Bibi huyu ana mission maalum ambayo pengine inaweza ikafanana na ile ya mstaafu ambaye huwa anapita ofisni kumsalimia mhusika, pamoja na kuwa mstaafu huyu naye mhusika alishamzuia kupita kumsalimia. Ni kwa sababu mhusika hana hadhi hiyo ya kuwa anapita kusalimiwa tu na mtu ambaye ni as senior as msatafu huyo
NAMNA BIBI HUYU ALIVYOWASILI OFISIN KWA MHUSIKA ALHAMIS YA TAREHE 19 JANUARI 2023

Kwenye safari ya kwanza kati ya hizi mbili zilizotajwa hapa, Bibi alifika ofisini kwa mhusika akiwaulizia wale aliokuwa amekuja kuwatembelea na ambao hawakuwepo ofisini siku hiyo

Hata hivyo, kwa safari ya Alhamis wiki iliyopita, Bibi alifika akiwa anataka kuacha mzigo wake ofisini kwa mhusika, baada ya kukuta tena wenyeji wake hawapo ofisini.

Kabla Bibi hajafika ofisini kwa mhusika, kwa mbali mhusika alimuona akiwa anatembea kwenye korido, huku nyuma yake akiwa anafuatiwa na mtu mwingine ambaye alionekana kumziba kwa nyuma ili asionekane na Kamera inayomulika kwenye korido hiyo, ambayo ilikuwa iko nyuma yao wote wawili

  • Baada ya bibi kukaribia ofisini kwa mhusika, mtu aliyekuwa nyuma ya Bibi alifungua mlango wa chumba kilicho jirani na ofisi ya mhusika ambao huwa unafunguka kwa nje, na hivyo mlango huo kuendelea kumziba bibi na Kamera iliyoko kwenye Korido
  • Baada ya hapo bibi ndiyo aliingia ofisini kwa mhusika huku mlango ukiwa umemkinga na kamera, na baada ya hapo tena mtu aliyekuwa nyuma yake Bibi naye aliingia chumba jirani na kuufinga mlango uliokuwa umemziba Bibi na Kamera
Bibi alifika ofisni kwa mhusika, na kuanza kumuomba mhusika amruhusu aache mzigo wake pale lakini mhusika hakumkubalia.

Baada ya mhusika kutokumbalia, Bibi alichukua mzigo wake ambao alikuwa tayari ameshauweka chini, na mara baada tu ya kuwa amegeuka nyuma kule alikokuwa ametokea, alimuona mwenyeji wake akiwa yupo kwenye korido akiwa anakuja, anaelekea ofisini kwake

Mwenyeji huyu alikuwa kwenye korido na hivyo, naye kutumika tena kama cover kwa Bibi na Camera iliyoko kwenye korido, bibi alipokuwa anaondoka ofisini kwa mhuskia


  • Kwa hiyo wakati Bibi anakuja, Bibi alikuwa yuko covered kwa nyuma na mtu mwingine ili asiweze kuoenakana na kamera hadi alipoingia ofisini kwa mhusika.
  • Vile vile wakati Bibi anatoka ofisni kwa mhusika, alikuwa covered tena na mwenyeji wake ili asionekane tena na Kamera inayomulika kwenye korido.
Kwa hiyo chances ni kwamba Bibi aliingia na kutoka ofisini kwa mhusika pasipo kuonekana na Kamera inayomulika kwenye korido

Pasipo kuwa na mission maalumu, bibi huyu hawezi kuwa anaenda na kutoka ofisini kwa mhusika kwa kificho cha aina hii, huku akiwa anashirikiana na wenyeji wake; ukizingatia pia ukweli kuwa mhusika alishamuomba Bibi huyu asifike ofisini kwake

Mwenyeji aliyeshirikiana na Bibi Alhamis hiyo ni yule mtu wa Musoma ambaye ofisi yake iko floor moja na ile ya mhusika

MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Back
Top Bottom