Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,372
- 6,881
- Thread starter
- #421
UPDATE-3: THURSDAY 04 FEBRUARY 2021
KWA WAUMINI WOTE WA KANISA A:
……………………..Inaendelea
KIONGOZI MKUU (KM)
Wakati wa matangazo baada ya Ibada kuisha, ndiyo sasa likatolewa tangazo la aina yake kwa ajili ya ratiba ya wiki iliyokuwa mbele, na ambalo mhusika hajawahi kulisikia tangu aanze kuhudhuria Ibada Kanisani; kwamba:
KWA WAUMINI WOTE WA KANISA A:
……………………..Inaendelea
KIONGOZI MKUU (KM)
Wakati wa matangazo baada ya Ibada kuisha, ndiyo sasa likatolewa tangazo la aina yake kwa ajili ya ratiba ya wiki iliyokuwa mbele, na ambalo mhusika hajawahi kulisikia tangu aanze kuhudhuria Ibada Kanisani; kwamba:
- kuanzia J5 mpaka Ijumaa, waumini wanaotakiwa kuonekana Kanisani ni wale tu watakaokuwa wametumiwa ujumbe wa SMS kwenye simu zao.
- Hapa pia inaonyesha kama waumini hawa ni wale tu ambao wako kwenye program moja na KM, kwamba watasikilizia kwanza siku za J3 na J4 kuona hali ya hewa inakwendaje kuhusiana na scud alilokuwa amerusha KM madhabahuni, na hatimaye kama kuna chocchote, basi wanaweza kuwasiliana kwa njia ya SMS na kukutana Kanisani kuanzia hiyo J5 for a way forward, katika kujaribu kuona nini kifanyike au kisifanyike, baada ya KM kuwa amefanikiwa kurusha makombora yake kwenye J2 ile ya wiki iliyokuwa imepita!