Mkasa ulionikuta wikiendi hii

Mkasa ulionikuta wikiendi hii

flintsky

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
654
Reaction score
747
Wadau wa MMU habari zenu

Yaliyonikuta wikiendi hii ilikuwa zaidi ya majanga.
Niliwaza iwe siri yangu lakini nimeona acha nishee na nyie
Muwe washuhuda!shuka nayo hiyo

Kama desturi ndani ya jumamosi
Kidume nimeweka miadi na mtoto
Wa chuo flani hivi sista duu wa nguvu.baada kumgharamia kabla sijala mzigo nikaona sasa huu ndo wakati muafaka wa kula kinono ili kurudisha hata chenji zangu!

Mtoto akasomeka vizuri ila kwa masharti hatakaa sana.sikuona tabu nikamwambia achukue taxi afike hapa.me nishalipia chumba 40,000 nimekaa sehemu ya bar nashusha bapa langu la konyagi
Nikaona haitoshi nikameza na kiagra kimoja ili nije kurudisha gharama hata nusu!

Akanipigia simu kafika nikalipa tax 5000 ajabu kuchungulia nyuma ya taxi kuna sista duu zingine mbili
Mara zikashuka jumla wakawa watatu!nikahisi kijasho chembamba kinashuka maskio yakawa yamoto kwa hasira.
Ila nikajikausha tukakaa wakaletewa menyu yaani walimaliza elf90 pale ikabidi nikatoe mpesa ila nikawa na imani
Kwamba wataondoka waniachie huyo mwenzao nikamshughulishe
Maana hapo hali ilishakuwa tete!

Ukistaajabu ya musa utaona ya firauni.eti wote mwishoe wananiaga huku wananibusu kwamba wanaenda kwenye birthday ya rafiki yao!
Nikawaitia taxi tena nikalipia
Yaani laki na nusu iliishia pale mzigo sijapewa nikarudi homu kumbeleleza tu wife anipooze ilikuwa hakuna namna!

We sista duu popote ulipo kama unasoma hii siku ukiingia anga zangu ukanipa takula viagra3 na
Nitakula hadi KABANG!
 
Wadau wa MMU habari zenu

Yaliyonikuta wikiendi hii ilikuwa zaidi ya majanga.
Niliwaza iwe siri yangu lakini nimeona acha nishee na nyie
Muwe washuhuda!shuka nayo hiyo

Kama desturi ndani ya jumamosi
Kidume nimeweka miadi na mtoto
Wa chuo flani hivi sista duu wa nguvu.baada kumgharamia kabla sijala mzigo nikaona sasa huu ndo wakati muafaka wa kula kinono ili kurudisha hata chenji zangu!

Mtoto akasomeka vizuri ila kwa masharti hatakaa sana.sikuona tabu nikamwambia achukue taxi afike hapa.me nishalipia chumba 40,000 nimekaa sehemu ya bar nashusha bapa langu la konyagi
Nikaona haitoshi nikameza na kiagra kimoja ili nije kurudisha gharama hata nusu!

Akanipigia simu kafika nikalipa tax 5000 ajabu kuchungulia nyuma ya taxi kuna sista duu zingine mbili
Mara zikashuka jumla wakawa watatu!nikahisi kijasho chembamba kinashuka maskio yakawa yamoto kwa hasira.
Ila nikajikausha tukakaa wakaletewa menyu yaani walimaliza elf90 pale ikabidi nikatoe mpesa ila nikawa na imani
Kwamba wataondoka waniachie huyo mwenzao nikamshughulishe
Maana hapo hali ilishakuwa tete!

Ukistaajabu ya musa utaona ya firauni.eti wote mwishoe wananiaga huku wananibusu kwamba wanaenda kwenye birthday ya rafiki yao!
Nikawaitia taxi tena nikalipia
Yaani laki na nusu iliishia pale mzigo sijapewa nikarudi homu kumbeleleza tu wife anipooze ilikuwa hakuna namna!

We sista duu popote ulipo kama unasoma hii siku ukiingia anga zangu ukanipa takula viagra3 na
Nitakula hadi KABANG!

Pole mkuu. Zamani nilikuwa napenda kuangalia Isindingo. Kuna siku Georgie Zamdela alipata binti, akawa amepiga viagra. Wakati George anajiandaa kisaikolojia yule mtoto akapigiwa simu ya msiba, nadhani baba yake au mama yake alifariki. Yule mtoto akaanza kulia na akasema anaondoka. Ahh George alizunguka chumba kizima haamini wakati huku chini mambo tayari.

Ila mkuu wanaume hapo ndipo huwa tunakosea. Kwanza pombe na viagra haviendani. Kaka mwisho wake ni mauti.

Pili hiyo hela ingeenda hata kwa account ya mtoto. au katika maendeleo.

Ukifikisha miaka 40 hutaona jipya kwa wanawake, nakuambia ukweli. Akili hubadilika tu, unakuwa unawaza cementi na matofali.

Usije ukawa unahadithia wanao, ''hii sehemu zamani ilikuwa pori tu sasa hivi pamejengeka'' wakati hapo hata kiwanja huna.
 
Wadau wa MMU habari zenu

Yaliyonikuta wikiendi hii ilikuwa zaidi ya majanga.
Niliwaza iwe siri yangu lakini nimeona acha nishee na nyie
Muwe washuhuda!shuka nayo hiyo

Kama desturi ndani ya jumamosi
Kidume nimeweka miadi na mtoto
Wa chuo flani hivi sista duu wa nguvu.baada kumgharamia kabla sijala mzigo nikaona sasa huu ndo wakati muafaka wa kula kinono ili kurudisha hata chenji zangu!

Mtoto akasomeka vizuri ila kwa masharti hatakaa sana.sikuona tabu nikamwambia achukue taxi afike hapa.me nishalipia chumba 40,000 nimekaa sehemu ya bar nashusha bapa langu la konyagi
Nikaona haitoshi nikameza na kiagra kimoja ili nije kurudisha gharama hata nusu!

Akanipigia simu kafika nikalipa tax 5000 ajabu kuchungulia nyuma ya taxi kuna sista duu zingine mbili
Mara zikashuka jumla wakawa watatu!nikahisi kijasho chembamba kinashuka maskio yakawa yamoto kwa hasira.
Ila nikajikausha tukakaa wakaletewa menyu yaani walimaliza elf90 pale ikabidi nikatoe mpesa ila nikawa na imani
Kwamba wataondoka waniachie huyo mwenzao nikamshughulishe
Maana hapo hali ilishakuwa tete!

Ukistaajabu ya musa utaona ya firauni.eti wote mwishoe wananiaga huku wananibusu kwamba wanaenda kwenye birthday ya rafiki yao!
Nikawaitia taxi tena nikalipia
Yaani laki na nusu iliishia pale mzigo sijapewa nikarudi homu kumbeleleza tu wife anipooze ilikuwa hakuna namna!

We sista duu popote ulipo kama unasoma hii siku ukiingia anga zangu ukanipa takula viagra3 na
Nitakula hadi KABANG!
wavulana mnashida saana!
mwanaume hawezi vumilia mapuuza kama hayo, kwanza inaonekana hata hukumtarifu juu ya hilo swala lako we ukafikiri nikuvuta mkono tu pesa ziongee!

madomo zege wa Dar es salaam mnatuaibisha
 
Wadau wa MMU habari zenu

Yaliyonikuta wikiendi hii ilikuwa zaidi ya majanga.
Niliwaza iwe siri yangu lakini nimeona acha nishee na nyie
Muwe washuhuda!shuka nayo hiyo

Kama desturi ndani ya jumamosi
Kidume nimeweka miadi na mtoto
Wa chuo flani hivi sista duu wa nguvu.baada kumgharamia kabla sijala mzigo nikaona sasa huu ndo wakati muafaka wa kula kinono ili kurudisha hata chenji zangu!

Mtoto akasomeka vizuri ila kwa masharti hatakaa sana.sikuona tabu nikamwambia achukue taxi afike hapa.me nishalipia chumba 40,000 nimekaa sehemu ya bar nashusha bapa langu la konyagi
Nikaona haitoshi nikameza na kiagra kimoja ili nije kurudisha gharama hata nusu!

Akanipigia simu kafika nikalipa tax 5000 ajabu kuchungulia nyuma ya taxi kuna sista duu zingine mbili
Mara zikashuka jumla wakawa watatu!nikahisi kijasho chembamba kinashuka maskio yakawa yamoto kwa hasira.
Ila nikajikausha tukakaa wakaletewa menyu yaani walimaliza elf90 pale ikabidi nikatoe mpesa ila nikawa na imani
Kwamba wataondoka waniachie huyo mwenzao nikamshughulishe
Maana hapo hali ilishakuwa tete!

Ukistaajabu ya musa utaona ya firauni.eti wote mwishoe wananiaga huku wananibusu kwamba wanaenda kwenye birthday ya rafiki yao!
Nikawaitia taxi tena nikalipia
Yaani laki na nusu iliishia pale mzigo sijapewa nikarudi homu kumbeleleza tu wife anipooze ilikuwa hakuna namna!

We sista duu popote ulipo kama unasoma hii siku ukiingia anga zangu ukanipa takula viagra3 na
Nitakula hadi KABANG!
Hivi usawa huu wa magufuli kuna mwanamke anakutoa pesa yote hio? Dadeki!
 
Pole mkuu. Zamani nilikuwa napenda kuangalia Isindingo. Kuna siku Georgie Zamdela alipata binti, akawa amepiga viagra. Wakati George anajiandaa kisaikolojia yule mtoto akapigiwa simu ya msiba, nadhani baba yake au mama yake alifariki. Yule mtoto akaanza kulia na akasema anaondoka. Ahh George alizunguka chumba kizima haamini wakati huku chini mambo tayari.

Ila mkuu wanaume hapo ndipo huwa tunakosea. Kwanza pombe na viagra haviendani. Kaka mwisho wake ni mauti.

Pili hiyo hela ingeenda hata kwa account ya mtoto. au katika maendeleo.

Ukifikisha miaka 40 hutaona jipya kwa wanawake, nakuambia ukweli. Akili hubadilika tu, unakuwa unawaza cementi na matofali.

Usije ukawa unahadithia wanao, ''hii sehemu zamani ilikuwa pori tu sasa hivi pamejengeka'' wakati hapo hata kiwanja huna.
Kweli bro umenitoa matongotongo
 
Pole mkuu. Zamani nilikuwa napenda kuangalia Isindingo. Kuna siku Georgie Zamdela alipata binti, akawa amepiga viagra. Wakati George anajiandaa kisaikolojia yule mtoto akapigiwa simu ya msiba, nadhani baba yake au mama yake alifariki. Yule mtoto akaanza kulia na akasema anaondoka. Ahh George alizunguka chumba kizima haamini wakati huku chini mambo tayari.

Ila mkuu wanaume hapo ndipo huwa tunakosea. Kwanza pombe na viagra haviendani. Kaka mwisho wake ni mauti.

Pili hiyo hela ingeenda hata kwa account ya mtoto. au katika maendeleo.

Ukifikisha miaka 40 hutaona jipya kwa wanawake, nakuambia ukweli. Akili hubadilika tu, unakuwa unawaza cementi na matofali.

Usije ukawa unahadithia wanao, ''hii sehemu zamani ilikuwa pori tu sasa hivi pamejengeka'' wakati hapo hata kiwanja huna.
Hahahaaaaaa
 
Bhuahahahahaha duh sasa mkuu umeshapiga baka moja iyo viagra ya nini tena
 
Back
Top Bottom