Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 891
Nsololi na Masanja: unajua na mimi nina mtazamo kwa kiasi fulani katika masuala y auandishi na nimeandika hapo nikijua kuwa story yoyote ukiiandika kuna intent pia. Hii story imekaa zaidi kujenga hoja kuliko kuripoti. na nimesema wazi kwamba kuna conflict of interest katika kuripoti. Na hii ni kutokana na ule ugomvi wa Mengi na Mkapa.
Mengi amekataa kuweka mguu Kempinski kiasi kwamba hata mikutano husogezwa Movenpick kama ye ni mgeni rasmi. hii ni fact na sidhani atakataa akiulizwa.
Walipoandika ile story ya Kilimanjaro na kumtaja Mengi journalist ethics inamtaka editor aandike "Reginald Mengi is the owner of IPP Media which owns the Guardian." hii inaweka wazi kuwa what interest are involved. Therefore we are free to make conclusions as we please. Kwani Warner Brothers walipopelekana mahakamani na Google au Yahoo, CNN all the time wali-declare kuwa wako owned na Time Warner. It is important.
Mengi anafichua maovu unasema, basi naomba niulize, mbona hasemi yale ya Kikwete? Na waandishi wake wana taarifa zote kuhusu dili za Kikwete lakini hata siku moja hawajaandika.... food for thought......
Katika ishu hii simshiki bango, Mkapa, Mengi au Mrema, but I am saying that what I am reading here means there is more to this story na haijakaa sawa, kwani ile direct interest ya Mengi imefichwa wakati ni dhahiri kuwa upo hapa.
Mengi amekataa kuweka mguu Kempinski kiasi kwamba hata mikutano husogezwa Movenpick kama ye ni mgeni rasmi. hii ni fact na sidhani atakataa akiulizwa.
Walipoandika ile story ya Kilimanjaro na kumtaja Mengi journalist ethics inamtaka editor aandike "Reginald Mengi is the owner of IPP Media which owns the Guardian." hii inaweka wazi kuwa what interest are involved. Therefore we are free to make conclusions as we please. Kwani Warner Brothers walipopelekana mahakamani na Google au Yahoo, CNN all the time wali-declare kuwa wako owned na Time Warner. It is important.
Mengi anafichua maovu unasema, basi naomba niulize, mbona hasemi yale ya Kikwete? Na waandishi wake wana taarifa zote kuhusu dili za Kikwete lakini hata siku moja hawajaandika.... food for thought......
Katika ishu hii simshiki bango, Mkapa, Mengi au Mrema, but I am saying that what I am reading here means there is more to this story na haijakaa sawa, kwani ile direct interest ya Mengi imefichwa wakati ni dhahiri kuwa upo hapa.