Mkapa, Vincent na Madaraka: What Else?


Madaraka kaulizwa na waandishi wa habari, na yeye akaamua kujibu moja tu, nalo ni la uhusiano kati yake yeye na Vincent, huko ni kum support Vincent au kusema ukweli? Sasa kusema kuwa kajitokeza full swing kujibu, basi angejibu maswali yote aliyoulizwa.
 

- Kigharama kwa sisi tuliokaaa sana nje maana ya hii yote ni kwamba kuna mengi zaidi hawa wanayajua, je ni yapi na nini umuhimu wake kwa taifa na hasa sisi wananchi?

- I mean Vincent amsema na Madaraka amemuunga mkono tena in full swing, sasa kama unajua kusoma betweeen the lines ni kwamba kuna bigger ishu hapo, si unajua panapofuka moshi chini kuna moto? Vincent sio mjinga so is Madaraka, now what is the ishu hapa maana ya kumuuua Mwalimu siamini kwamba ndio the ishu hapa kuna something else hapo!

Es!
 

1999 bro, naona hata wewe umesahau
 

- Mkuu Madaraka, angesema tu watayamaliza kwenye familia hawa si familia moja, sasa ukiona Madaraka anamsimamia Vincent maana yake kuna more than what is being said here, unless I am missing something here!

Es!
 
1999 bro, naona hata wewe umesahau

Kumbukumbu zangu ziko sahihi kabisa. Mwalimu alipotoka huko ndipo aliposema "mimi nisiugue kwani jiwe" wakati alipokuwa anawaeleza waandishi wa habari jinsi alivyopokea simu nyingi sana zinazoulizia imekuwaje amelazwa. Hiyo ilikuwa ni mwaka 1989.
 
Nashindwa kuelewa pale watu wanaposema CCM wangepeleka vijana kule Arumeru badala ya Mkapa, kwanza kabisa hao vijana ni vijana tuu kwa umri, lakini mawazo yao ni yale yale.

Pili, CCM kama chama wako kwenye wrong side of the debate, kwa hiyo hata kama vijana wangekuwepo huko hakuna jipya ambalo wangezungumza. Watawaambia nini wana Arumeru kuhusu matatizo ya maji? Kwamba wao ni vijana na watakapozeeka au kuingia madarakani watawaletea maji?

Mimi niefurahi sana Mkapa ameenda kule watu wapate nafasi ya kumexpose huyu mtu. Huyu mtu ni mwizi ambaye alitakiwa aende jela, nani amesahau matumizi maabovu ya serikali na mikataba ya kishenzi? TICTS, Gulf stream jet, Rada, Nyumba za serikali kuuzwa kinyemela....
 
Najua maana ya Yamini na Yasini. Yaamini kwa tafsiri rahisi ni Kuapizana! kwani unakusudia nini MKuu!!??
Sasa kama unaelewa hivyo inakuwaje unachanganya na Adoption au kuchaguliwa?. Kwa nini unajaribu sana kutafisri kilichofanyika kwa mila za kizungu wakati unajua fika kwamba sisi ktk mila zetu tunaapishana undugu kwa kufuata mila zetu. Kula Yamini ni Undugu wa kiapo!

Siku hizi tu ndio yamini imepotea lakini zamani lilikuwa jambo la kawaida kabisa marafiki walikuwa kama ndugu wa damu..Hivyo mtu asiyekuwa ndugu wa damu hujiunga na familia na huapishwa kwa kufuata viapo vya jadi za makabila hayo.. Ilikuwa kama kupata Uraia vile ndani ya familia hiyo. Ugumu wake uko wapi au nyie vijana sana hamjawahi kuona wala kukumbuka mila hizi..
 
- Mkuu Madaraka, angesema tu watayamaliza kwenye familia hawa si familia moja, sasa ukiona Madaraka anamsimamia Vincent maana yake kuna more than what is being said here, unless I am missing something here!

Es!

Sasa mbona unamchagulia jibu, mkuu? La kumaliza kifamilia ni lipi wakati unaulizwa kama flani ni ndugu yako au sio, au uhusiano wenu ukoje. Huko kwenye kumaliza kifamilia litasemwaje? Na yeye Vincent angejisikiaje kama leo ndugu yake wa karibu kabisa angeshindwa kuwathibitishia Watanzania kuna wana uhusiano? Siri iko wapi hapo? Angekuwa anatumia jina tofauti labda. Kuna wakina Nyerere wengi tu ambao hawatumii "Nyerere".
 
Hoja yangu hapa si hicho "kilichojificha" bali "uuaji" wa Mwalimu uliofanywa na Mkapa. Watu wamekomalia hilo na hiyo ni dalili ya watu kuchoka kufikiri. Kama kuna kitu kimejificha waje wachimbaji wakichimbue lakini tusing'ang'anie kwamba Mkapa alimuua Mwalimu!!
 
Mkuu ES

Kwani madaraka amesema nini kwenye hii ishu?
 

- Kumuuuliza Madaraka kama Vincent ni ndugu yake ni ukanjanja wa media zetu, kwa sababu that was not the ishu, mkuu Kigharama vipi mkuu mbona speed sana ndio mnatuogopesha kwamba huko kuna something!

Es!
 

Nafikiri kumpeleka Mkapa Arumeru kulikuwa na lengo la kumridhisha Mkapa zaidi ya kumletea Sioi ushindi. Walitaka kuonesha kuwa bado wana imani nae licha ya tuhuma zote juu yake. Ukizingatia kuwa siku za hivi karibuni alikuwa kama amejitenga na siasa za CCM.
 
Mkuu wangu na wewe kaa huijui Bongo. Wakachimbue kaburi ili iweje? Mtajaribu sana kumsafisha Mkapa wakati hasafishiki..Ukweli unajulikana sema watu hawana uwezo tu...Amefanya kosa pale alipotaka kuonyesha anawajua sana familia hiyo ndipo watu wakamwondolea Uvivu. Kafungua mwenyewe dirisha la hoja, sasa watu wanafungua milango yote!
 
Mkapa ni familia ya nyerere,Ambaye anabisha ajinyonge,waliompa heshima hiyo ni wenyewe.Hili swala la mkapa kumu ua nyerere apeleke mahakamani na siku zote amekuwa wapi kuuleza uma ukweli,mpaka asubiri compaign tena za uchaguzi mdogo
 
- Kumuuuliza Madaraka kama Vincent ni ndugu yake ni ukanjanja wa media zetu, kwa sababu that was not the ishu, mkuu Kigharama vipi mkuu mbona speed sana ndio mnatuogopesha kwamba huko kuna something!

Es!

Enlighten me sir, what was the issue?
 
Field Marshal kuna kitu unakijua sisi hatukijui, sasa bora mwaga mboga kabisa wanaume tukunje miguu kwenye janvi..Sii kawaiada yako kuzunguka mbuyu kwa saaana!

- Nah sijui lolote ila reading between the lines ya hii ishu ndio inaleta maswali mengi sana kuliko majibu, that is all!

Es!
 
. Ugumu wake uko wapi au nyie vijana sana hamjawahi kuona wala kukumbuka mila hizi..
Mimi si kijana kiasi hicho. Nimewahi kushuhudia watu wakichanjiana damu na wengine ni "ndugu" zangu kabisa. Lakini hoja yako nimeshindwa kuiona kabisa. Kama undugu wa Mkapa na kina Nyerere ni wa kuapizana ina maana Mkapa hana hadhi ya kujiita ndugu wa kina Nyerere?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…