William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Ninajiuliza swali moja hawa wote ni Familia moja, sasa wanapochafuana huko Arumeru as they have done, linakuja swali moja kubwa je hawa wanafamilia moja wana siri ngapi zingine hawajatuambia wa-Tanzania? Au tusubiri kmpeni nyingine ya siasa tuwap[ange tena tusikie zaidi? Just curious!
- Lakini hawa wana siri nyingi tunahitaji kuzijua Wananchi wa Tanzania!
FMEs!
- Ninajiuliza swali moja hawa wote ni Familia moja, sasa wanapochafuana huko Arumeru as they have done, linakuja swali moja kubwa je hawa wanafamilia moja wana siri ngapi zingine hawajatuambia wa-Tanzania? Au tusubiri kmpeni nyingine ya siasa tuwap[ange tena tusikie zaidi? Just curious!
- Lakini hawa wana siri nyingi tunahitaji kuzijua Wananchi wa Tanzania!
FMEs!
Mkapa ni Familia ya Nyerere?
Mkapa Nyerere?
Mkapa nae ni familia ya Nyerere? Ni lini Watanzania tutakuwa 'serious' na vitu tunavyosema na kufanya? Au mizaha ndio destiny yetu??
Mkapa si familia ya Nyerere...Mkapa ni Familia ya Nyerere?
Mkapa Nyerere?
mmmmmmmmmmmmhh!..
mkuu mimi naunga mkono hoja kwenye swala la kwanin mkapa????WHY??...
halaf mkuu hebu uliza vyanzo vyako vya taarifa ..kwamba kwanin siku ya uzinduzi wa kampeni kwa hichi chama chetu tawala..ni the same day mh rais aliongea na sis wazee pale dar...?kwamba hili la arumeru halimuhusu sana hata akazicapture media zote yeye?
mmmmmmmmmmmmhh!..
mkuu mimi naunga mkono hoja kwenye swala la kwanin mkapa????WHY??...
halaf mkuu hebu uliza vyanzo vyako vya taarifa ..kwamba kwanin siku ya uzinduzi wa kampeni kwa hichi chama chetu tawala..ni the same day mh rais aliongea na sis wazee pale dar...?kwamba hili la arumeru halimuhusu sana hata akazicapture media zote yeye?
Fungua macho mkuu wangu....
Lile la Arumeru limekaa ki-Lowassa zaidi.... Lina maslahi ya Lowassa lile.
Sasa yaani...dah!
Alipewa heshima hiyo na wanafamilia. Soma kipande hiki cha gazeti la ThisDay la jumapili, tarehe 27 April 2008(online version):Mkapa ni Familia ya Nyerere?
Mkapa Nyerere?
THE family of the late Mwalimu Julius Kambarage Nyerere intends to summon ex-president Benjamin Mkapa to Butiama Village next month to discuss widespread allegations of corruption and abuse of office now besetting the former head of state.
A member of the Nyerere family, Peter Wanzagi, has confirmed to THISDAY that Mkapa, who holds the position of honorary son of Nyerere's Zanaki tribe, will be called to the family meeting scheduled for next month.
He will be asked to explain the allegations being made against him, Wanzagi said.
The family meeting at Nyerere's birthplace of Butiama in Mara Region, will be chaired by the current Zanaki tribal chief Japhet Wanzagi.
Said Peter Wanzagi, who is also Butiama Village councillor: ''Mkapa is one of us (family), so we have seen fit to call him to the family meeting, where we will discuss these allegations against him.''
He explained that if the corruption allegations against Mkapa are genuine, the family will decide what to do about it, including possibly kicking him out of the family and denouncing his honorary status.
Although not a native of Butiama Village in Mara Region, the ex-president was made an honorary son of the small but influential Zanaki tribe some four years ago.....
- Ninajiuliza swali moja hawa wote ni Familia moja, sasa wanapochafuana huko Arumeru as they have done, linakuja swali moja kubwa je hawa wanafamilia moja wana siri ngapi zingine hawajatuambia wa-Tanzania? Au tusubiri kampeni nyingine ya siasa tuwapange tena tusikie zaidi? Just curious!
- Lakini hawa wana siri nyingi tunahitaji kuzijua Wananchi wa Tanzania!, sasa wapangwe tena another kampeni!, I mean kinachoendelea huko Arumeru ni serious business:
- HOWEVER: hivi kweli CCM haikuwa na mwingine wa kumpeleka Arumeru zaidi ya Mkapa? I mean kweli Viajna wote walioko CCM Why him?
FMEs!
- Kwenye hili CCM hawakuwa makini ingawa sijui the prons, lakini kumpeleka kampeni kama hii Mkapa, siamini kwamba politically ilikuwa a sound idea, ninaamini huku walitakiwa Vijana zaidi infact hata wagombea wenyewe wako in their 20s, labda kuna something sijui lakini kwa maoni yangu it was overreaching on CCM's part!
Es!