Asante kwa habari hiyo nilikuwa nasubiri kwa hamu hao jamaa wafikiswe mahakamani. Suala ni kama serikali hii ya awamu ya nne ina vidhibiti vya kuwatia hatiani.Ama sivyo hizo nikampeni tu za uchaguzi wa 2010 zimeanza.Kama kweli wapo makini nasubiri wengine kama kina chenge na.....